Wanawake tajeni top 10 ya I'd za kiume zenye majina mazuri...

Umeandika gazeti kama vile ni ishu siriaz wakati mwenyewe ameandika kwa utani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye utani ndiyo kunafaa zaidi kupitishia vitu vya ukweli, wakati mwingine.
By the way, kombora la utani lilitolewa jana kwenye mkutano wa madaktari ulilisikia? Kama hujalisikia, sikiliza hotuba ya Rais ya jana. Nilicheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…