Hivi nilidhani jina langu la kiloko sana ujuwe...
Wote?
Kumbe!!!Hivi nilidhani jina langu la kiloko sana ujuwe...
Nimefurahishwa na Depal
How are you shem ake???
Unipe nimfanyie Nini?We mbona mrembo tu, jina lako linafaa hata kupewa Numbisa
Sawa.
Niko poa kabisa shem, sijui weye?How are you shem ake???
Mkwe haitoki bure hii na unajua, haya do the needfull.Halelujah...
Hapa mkwe nimepata, anajua wakati gani wa kumwambafai mkwe wake...