Wanawake tuache roho mbaya kwa wenza wetu

Wanawake tuache roho mbaya kwa wenza wetu

kalimanzilajuma

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
323
Reaction score
314
Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalimu wa Tagamenda sekondari. Kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila aliemshauri alimjengea chuki.

Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa alidiriki hata kumnyima chakula. Huyu baba alivumilia yote hayo kwa kuwa wamezaa watoto wawili na wamefankiwa kujenga huku Kitwiru Iringa. Baba huyu ni mlokole na kwakweli hajui kubishana kabisa yaani unaweza ukahisi labda ana shida.

Sasa shosti ameenda mahakamani kaomba talaka na anataka nyumba iuzwe kila mtu apewe chake. Baba wa watu hataki nyumba iuzwe wapewe watoto lakini mwanamke hataki. Nyumba yao ni nzuri tu. Sasa shosti anashinda manispaa akiwashawishi wathamini WAISHUSHE nyumba gharama ili amkomoe aliekuwa mme wake.

Mahakama iliamuru mme apewe 40 %na mke 60. Sasa baba wa watu amekataa kuhama kwenye nyumba mpaka atakapojua hatma ya nyumba yao.

SASA SHOSTI YUKO ANASUKA MPANGO WA KUMBAMBIKIA KESI YA UBAKAJI KUPITIA KWA BINTI WA KAZI.

Kuna binti amemchukua kwa rafiki yake kwa kazi hiyo. Na kuna mwanaume anasuka mpango huo anaitwa Stivu.

Bahati mbaya likizo huyu baba ameenda kwao lakini akirudi huu ndo mkakati uliosukwa.

MUNGU TUSAIDIE NA UTUSAMEHE DHAMBI ZETU. MOYO WANGU UNA AMANI KWA KUUFICHUA UKWELI HUU.
 
SASA SHOSTI YUKO ANASUKA MPANGO WA KUMBAMBIKIA KESI YA UBAKAJI KUPITIA KWA BINTI WA KAZI
Huko kote niliona kawaida tu ila kufika kwa hiki kipande nimestack kidogo.

Omba hii kitu isikukute unaweza kufa huku unajiona impact yke ni depression ya hatari sana, wanawake baadhi yenu mnaroho za kishetani sana.
 
Da huyo jamaa atakuwa Mwanamke anakipato kuliko yeye, inakuwaje Mwanamke ana Ku control hivyo.

Mwanamke alieyeumbwa na kupewa awe chini yako tena na mwenyezi Mungu,anaanzaje kukupelekesha na wewe upon tu.
 
Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalim wa tagamenda sekondari.kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila alie mshauri alimjengea chuki.

Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa alidiriki hata kumnyima chakula. Huyu baba alivumilia yote hayo kwa kuwa wamezaa watoto wawili na wamefankiwa kujenga huku kitwiru Iringa. Baba huyu ni mlokole na kwakweli hajui kubishana kabisa yaani unaweza ukahisi labda anashida.

Sasa shosti ameenda mahakamani kaomba talaka na anataka nyumba iuzwe kila mtu apewe chake .Baba wa watu hataki nyumba iuzwe wapewe watoto lakini mwanamke hataki. Nyumba yao ni nzuri tu. Sasa shosti anashinda manispaa akiwashawishi wathaamini WAISHUSHE nyumba gharama ili amkomoe aliekuwa mme wake.

Mahakam iliamuru mme apewe 40 %na mke 60. Sasa baba wa watu ametaa kuhama kwenye nyumba mpaka atakapojua hatma ya nyumba yao.

SASA SHOSTI YUKO ANASUKA MPANGO WA KUMBAMBIKIA KESI YA UBAKAJI KUPITIA KWA BINTI WA KAZI.

Kuna binti amemchkua kwa rafiki yake kwa kazi hiyo. Na kuna mwanaume anasuka mpango huo anaitwa Stivu.
Bahati mbaya likizo huyu baba ameenda kwao lakini akirudi huu ndo mkakati uliosukwa.

MUNGU TUSAIDIE NA UTUSAMEHE DHAMBI ZETU. MOYO WANGU UNAAMANI KWA KUUFICHUA UKWELI HUU.

Ndio maana wanaume siku hizi hatutaki kuoa
 
Back
Top Bottom