Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

daah ,unatutesa sisi marijali, nshadisha hukuu
 
Teh wakati unachepuka na nyumbani fanya maboresho mhamasishe nae, sio fair kutimka huko unapiga vinne ukirudi home kimoja cha kivivu sio sawa!!!
njia kuu zinazinguaga sana kwenye game, rejea aliyoyasema mtoa mada yaani yanatokea ndoa zote. Michepuko inajua weakness zilizopo njia kuu ndio maana wana take advantage kwa kutoa mahaba kama yote
 
njia kuu zinazinguaga sana kwenye game, rejea aliyoyasema mtoa mada yaani yanatokea ndoa zote. Michepuko inajua weakness zilizopo njia kuu ndio maana wana take advantage kwa kutoa mahaba kama yote
Teh mtoa mada ndo mie, ni kweli mchepuko unajua hilo lakini cha ajabu hata mchepuko nae ukimpandisha cheo atakua vile vile tu, atakuzoea mahaba yataanza kupimwa kwenye kibaba kama mafuta ya taa
 
Sisi tuloanza kugegedena baada ya ndoa kutoka kwa mfungaji hii haituhusu kabisa
 
Kama unapewa style ya serikali napo baada ya kuomba sana inakuhusu
Hii hainihusu maana sikuanzia huko mloanzia nyie

Kwa hiyo tumeanza na mende style sasa tunavobadirisha ni maendeleo ila ninyi nloanza kubinuana before marriage lzm iwahusu
 
Hii hainihusu maana sikuanzia huko mloanzia nyie

Kwa hiyo tumeanza na mende style sasa tunavobadirisha ni maendeleo ila ninyi nloanza kubinuana before marriage lzm iwahusu
Hongereni sana watumishi
 
Utayapata wapi, nanilii imelegea baada ya kupitisha vichwa vitatu vya machalii..!

Tulieni form 6 na wanachuo wawalee waume zenu.
 
kweli kabisa... itasaidia wanaume kutokuishiwa nguvu za kiume
 
huu ujumbe angeusoma mama watoto dah maana kama umemuandikia yeye. yaani si yule wa enzi zile navumilua tu
 
Mkuu vipi wewe je unakumbuka kuutimiza huu wajibu lakini???
Vipi dawasco bado unayo??
Kama umechoka kidogo tu hata kichwa??? [emoji2][emoji2]
Je bado unakula lollipop na naniliu zake kama huna akili nzuri?? [emoji41]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…