Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Majukumu ya familia . Wakati ule mnakula msosi wa mother mnaenda kwenye show,ukirudi home unakuta mother kaweka masantojo yote mezani,sasa ukishaolewa mnagegedana huku mnafikiria kesho mtakula nn
Ni kweli majukumu nayo yanatuondoa mood ila kunjunjana ni muhimu pia nnavoona mie sex huwa inapunguza hizo stress nyingine
 
Umebarikiwa kuliko wanawake wrote hapa jamii forum,umekomaa unajitambua sana . usikate tamaa endelea kuwakumbusha hawa wenzio
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
 
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
Hivi unawaangaliaga vzuri wamama miili yao na yale matumbo ya uzazi? Wanakua wazito alafu ngono ya kila siku inachosha wanaume wanajiendekeza sana kutaka kulalana kila siku hawajui sisi sio kama wao ukitaka daily ujue kuna siku sitakua na mood kabisa kujituma kunatokana na hamu ya tendo.
Na nadhani hii ndo sababu kuna nyuzi za kunyimana unyumba humu kwa wanandoa sababu kubwa mke anajiona kama anatumika yaan kila siku umlale na bado akukatie mauno looh!! Wanachoka jamani.
 
Hivi unawaangaliaga vzuri wamama miili yao na yale matumbo ya uzazi? Wanakua wazito alafu ngono ya kila siku inachosha wanaume wanajiendekeza sana kutaka kulalana kila siku hawajui sisi sio kama wao ukitaka daily ujue kuna siku sitakua na mood kabisa kujituma kunatokana na hamu ya tendo.
Na nadhani hii ndo sababu kuna nyuzi za kunyimana unyumba humu kwa wanandoa sababu kubwa mke anajiona kama anatumika yaan kila siku umlale na bado akukatie mauno looh!! Wanachoka jamani.
Msichoke sana
 
Wanaume wepi wa kufanyiwa ,hawa wanaosema wanapenda wanawake weupi ,wakati wameoa wanawake weusi ,wanaume wepi wakufanyiwa haya, wakilala wanalala fofofo unampapasa anakwambia niache nilale kwanza ,wanaume wepi hawa hawa ukilala unajikuta analazimisha uume kuingia ,kwa lazima bila maandalizi unamwambia unaniumiza anajifanya hasikii ?Mungu atusaidie wanawake tulee watoto wetu wa kiume waje kuwa wababa ambao tungetamani waume zetu wawe hivo
 
Asante kwa somo zuri Evelyn, lakini nadhani katika maisha yangu sitasahau ajali ya MV Bukoba, maana naamini wanawake unaowataja wote walikufa kwenye ajali hiyo, wachache waliobaki ndo wameishia kwenye ajali ya Treni Dodoma na MV Nyerere juzi.
Unategemea mke akutii ,akupendee ,akupigie akufanyie kila wewe umekaa tu kila lakher
 
Wanaume wepi wa kufanyiwa ,hawa wanaosema wanapenda wanawake weupi ,wakati wameoa wanawake weusi ,wanaume wepi wakufanyiwa haya, wakilala wanalala fofofo unampapasa anakwambia niache nilale kwanza ,wanaume wepi hawa hawa ukilala unajikuta analazimisha uume kuingia ,kwa lazima bila maandalizi unamwambia unaniumiza anajifanya hasikii ?Mungu atusaidie wanawake tulee watoto wetu wa kiume waje kuwa wababa ambao tungetamani waume zetu wawe hivo
We miss mbeya wa wapi wewe labda huko igawa au ileje huu mwandiko sio wa mbeya
 
Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
Hili ndio linachangia sana M/me kutoka NJE ......Unaomba Omba kwa kumlazimisha utafikiri K anayo yeye Dunia nzima.
 
Hili ndio linachangia sana M/me kutoka NJE ......Unaomba Omba kwa kumlazimisha utafikiri K anayo yeye Dunia nzima.

Eti bana yaani umeoa na bado unanyimwa halafu kuna binti kakuelewa anakwambia we tafuta muda tu teh teh teh.
 
Back
Top Bottom