Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
Kwanza nikupongeze kwa kuongea ukweli wa hali ilivyo kwa karibu 98% ya wanandoa, au wawili wanaoishi pamoja kwa muda mrefu.
Juzi nilitembelewa na my ex-girlfriend, ambaye sasa yupo kwenye ndoa kwa karibu miaka miwili.
Ktk mazungumzo yetu, tulikumbuka mambo mengi ya love and sex tuliyokuwa tukifanya, nikasema jamaa atakuwa anafaidi sana! Akaniambia mambo sio kama unavyofikiri. Mwanzo ilianza hivyo, ila kwass, tunaweza kaa wiki moja hadi mbili bila kusex, na akasema hakuna kitu anachokionea uvivu kama kusex. Akanionyesha hadi msg wanazotumiana kwenye simu, haziko romantic tena.
Kitu pekee anachokimiss akiwa nje ya nyumba yake, ni mwanae. Mr wake akisafiri hujisikia huru!!
Kwa hiyo ushauri uliotolewa ni bora "ke" mkauzingatia, mzilinde ndoa zenu!!
 
Hata kitu alicho fanya #amber_rutty juzi hiki umekipokea kwa bashasha sana
 
Kwanza nikupongeze kwa kuongea ukweli wa hali ilivyo kwa karibu 98% ya wanandoa, au wawili wanaoishi pamoja kwa muda mrefu.
Juzi nilitembelewa na my ex-girlfriend, ambaye sasa yupo kwenye ndoa kwa karibu miaka miwili.
Ktk mazungumzo yetu, tulikumbuka mambo mengi ya love and sex tuliyokuwa tukifanya, nikasema jamaa atakuwa anafaidi sana! Akaniambia mambo sio kama unavyofikiri. Mwanzo ilianza hivyo, ila kwass, tunaweza kaa wiki moja hadi mbili bila kusex, na akasema hakuna kitu anachokionea uvivu kama kusex. Akanionyesha hadi msg wanazotumiana kwenye simu, haziko romantic tena.
Kitu pekee anachokimiss akiwa nje ya nyumba yake, ni mwanae. Mr wake akisafiri hujisikia huru!!
Kwa hiyo ushauri uliotolewa ni bora "ke" mkauzingatia, mzilinde ndoa zenu!!
Ila hiyo ni kawaida ni kama kitu chako kikiwa kipya unavokitreat ila ikikizoea ni tofauti.
Kila mtu ana wajibu wa kumboost mwezi wake
 
Ngoja nipige Dompo yangu, leo lazima tukumbushie mboga tulizounguza kipindi kile anakuja kunipikia.

Japo siku hizi ni shemasi, nitamwambia auweke ushemasi pembeni.
 
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
Nikija kuolewa na kupata watoto huyo mume ataona chamtema kuni namchanganya akili mpaka azirai nampa mambl motomoto halafu nampa kibuti cha whtsupp baba sweety naomba sitaki mazoea na wewe nimeolewa na ninapenda ndoa yangu nanina majukumu masuala yakuombana kama unaomba hela sitaki naomba ukome .
Chagua watoto au wewe halafu namtext tafuta ustaarabu wako.
kabisa.
Au tukifanya nilipe kama mchepuko.
 
Nikija kuolewa na kupata watoto huyo mume ataona chamtema kuni namchanganya akili mpaka azirai nampa mambl motomoto halafu nampa kibuti cha whtsupp baba sweety naomba sitaki mazoea na wewe nimeolewa na ninapenda ndoa yangu nanina majukumu masuala yakuombana kama unaomba hela sitaki naomba ukome .
Chagua watoto au wewe halafu namtext tafuta ustaarabu wako.
kabisa.
Au tukifanya nilipe kama mchepuko.
Kisa cha kufanya hivo?
 
Namajukumu leba niende mie .
Kutunza kila.mtu huko ndani ni mimi napapuchi tena nimpe wewe chezea hapo.
Sasa unaenda kwake kufanya nini kwanini usibaki kwenu? Kama shida ni mtoto sperm donor wapo wa kutosha
 
Umeshakuwa kungwi sasa ngoja ni mlete wifi yako
Umpe darsa kwa vitendo
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
 
Majukumu ya familia . Wakati ule mnakula msosi wa mother mnaenda kwenye show,ukirudi home unakuta mother kaweka masantojo yote mezani,sasa ukishaolewa mnagegedana huku mnafikiria kesho mtakula nn
 
Kama asilimia 20% tu ya Wanawake walioolewa wangekuwa wanayajua na kuyatenda haya uliyoyaandika hapa mkuu Evelyn Salt basi ndoa nyingi sana zingekuwa katika amani, upendo, furaha na utulivu. Hakuna Mwanaume angehangaika na "michepuko" au "nyumba ndogo" kama angepata yote hayo kutoka kwa Mke wake.

Sisi Wanaume ni kama watoto wadogo, ukimnyima chakula nyumbani, basi ataenda kula kwa jirani au majalalani.
 
Kama asilimia 20% tu ya Wanawake walioolewa wangekuwa wanayajua na kuyatenda haya uliyoyaandika hapa mkuu Evelyn Salt basi ndoa nyingi sana zingekuwa katika amani, upendo, furaha na utulivu. Hakuna Mwanaume angehangaika na "michepuko" au "nyumba ndogo" kama angepata yote hayo kutoka kwa Mke wake.

Sisi Wanaume ni kama watoto wadogo, ukimnyima chakula nyumbani, basi ataenda kula kwa jirani au majalalani.
Kwa kautafiti kadogo ukiachana na changamoto nyinginezo ila "tendo la ndoa" ni moja kati ya vitu vinavyoleta migogoro sana ndani na inavoonekana wanawake ndo tunawahi kulichoka kuliko wanaume...tukumbushane!!
 
Back
Top Bottom