Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

Habari zenu wanawake wenzangu wa MMU.

Karibuni tujadili changamoto zinazotupata kipindi ambacho wapenzi wetu wawapo mbali, kikazi au kwa shughuli yoyote ile inayowafanya msionane kwa mda mrefu.

Mimi binafsi MUME wangu sipo naye karibu, ninaweza kukaa week 3 mpaka miezi 3 bila kuonana. Linapokuja suala la sex kwetu huwa ni changamoto sana. Na ukizingatia tukiwa pamoja ni tunapeana malovedave ya kutosha tu popote pale.
Inabidi uwe mvumilivu sana aisee! la sivyo utaishia kuchepuka kila kukicha na kuzaa watoto wa njee ya ndoa tu baadae ije ilete usumbufu tu.

Mimi namwenzangu huwa tunafanya sex chart, na kwa upande mwingine masturbation inahusika asee! na ni tamuuuu asikwambie mtu.

Hembu tupige story mbili tatu na wewe huwa unafanyaje kumaliza hali zako.
WAZINZI [emoji34]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ila akiwa mbali nami ,pengine huwa anachepuka siwezi jua.
laa mda mwingi tunakuwa live.tunapiga story.na kupeana mahaba ya mbali .kila mmoja akiridhika na kupiga bao zake kwa mbali mbali,tunalala😂
akishapiga kimoja mwenzako alali cha pili sasa anaenda kusimamia ukucha kwa mchepuko
inabidi uhakikishe mnapiga raundi tatu tatu yaani kama ni simu ameshikilia mkiwa mnachat mpaka andondoke nayo ipasuke
au apige uso kwenye kioo cha laptop ndo unaweza kujua hapa kidogo tayari
wanaume sisi kichwa cha chini hakitulizwi kimasihara kama ulivyoelezea apo juu
mwingine yupo tayari atoke ata sa8 za usiku kutafuta huduma mpaka kichwa cha chni kipoe hihiii
 
Habari zenu wanawake wenzangu wa MMU.

Karibuni tujadili changamoto zinazotupata kipindi ambacho wapenzi wetu wawapo mbali, kikazi au kwa shughuli yoyote ile inayowafanya msionane kwa mda mrefu.

Mimi binafsi MUME wangu sipo naye karibu, ninaweza kukaa week 3 mpaka miezi 3 bila kuonana. Linapokuja suala la sex kwetu huwa ni changamoto sana. Na ukizingatia tukiwa pamoja ni tunapeana malovedave ya kutosha tu popote pale.
Inabidi uwe mvumilivu sana aisee! la sivyo utaishia kuchepuka kila kukicha na kuzaa watoto wa njee ya ndoa tu baadae ije ilete usumbufu tu.

Mimi namwenzangu huwa tunafanya sex chart, na kwa upande mwingine masturbation inahusika asee! na ni tamuuuu asikwambie mtu.

Hembu tupige story mbili tatu na wewe huwa unafanyaje kumaliza hali zako.
Chaputa hoyeeeeee [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akishapiga kimoja mwenzako alali cha pili sasa anaenda kusimamia ukucha kwa mchepuko
inabidi uhakikishe mnapiga raundi tatu tatu yaani kama ni simu ameshikilia mkiwa mnachat mpaka andondoke nayo ipasuke
au apige uso kwenye kioo cha laptop ndo unaweza kujua hapa kidogo tayari
wanaume sisi kichwa cha chini hakitulizwi kimasihara kama ulivyoelezea apo juu
mwingine yupo tayari atoke ata sa8 za usiku kutafuta huduma mpaka kichwa cha chni kipoe hihiii
Nahakikishaga namchosha vya kutosha ndo tunaagana.
Hata akichekupa shauri yake.
 
Ndio la saiz yangu
Okay hongera kwa vile mnatumia hii kitu hawezi kukuchubua olive
oliveoil.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom