Ah sasa wee unasema kugonga sie tunaongelea ndoa.Nakukumbusha Kuna Wanaume hawana hela Ila wanagonga mademu vibaya mno zaid hata ya wenye hela
Nakukumbusha Kuna Wanaume hawana hela Ila wanagonga mademu vibaya mno zaid hata ya wenye hela
Mbona hata watu wenye vipato vya chini Wana ndoa na zinadumu, kwa hiyo unataka kuniambia ndo ni kwa wenye hela tuAh sasa wee unasema kugonga sie tunaongelea ndoa.
Vizuri wacha wawagonge...sii wamewekwa hapa duniani kwa ajili ya hiyo kazi
Sijasema ndoa ni za wenye hela tuu. Nachosema ni kwamba the number one cause of marital problems is money, either the presence or absence of it.Mbona hata watu wenye vipato vya chini Wana ndoa na zinadumu, kwa hiyo unataka kuniambia ndo ni kwa wenye hela tu
Sio kweli wengine hela zipo na still mume na mke wanachepukaSijasema ndoa ni za wenye hela tuu. Nachosema ni kwamba the number one cause of marital problems is money, either the presence or absence of it.
Wee kuchepuka kukiwa na hela sii nilishakwambia sababu yake.Sio kweli wengine hela zipo na still mume na mke wanachepuka
Hiyo sababu Haina ukweli huo unaotaka kutuaminisha, wengine hawajazoea kusex na mwanamke au mwanaume mmojaWee kuchepuka kukiwa na hela sii nilishakwambia sababu yake.
Ni kweli watu wanapenda kuchakata mbususu zaidi ya moja.Hiyo sababu Haina ukweli huo unaotaka kutuaminisha, wengine hawajazoea kusex na mwanamke au mwanaume mmoja
Anakupenda lakin atatafuta mchepuko hajazoea mtu mmoja "some people love promiscuous way of life"
Brother kataa kubali ila hela imevuruga ndoa nyingi na sababu ,wanawake wengi wao wana akili za kushikiwa.Matajiri ndo wengi wao ndoa zao hazidumu na ndo wanatongoza kwa michepuko na hawa sababu ni nin
Ktk kumi hawazidi watatu.Nikutolee mfano Kuna jamaa alikua kwenye coma tokea mwaka wa 80's amefariki juzi miaka yote hiyo mke wake hakumkimbia na alikua kila siku ana mhudumia na akumkimbia
Tatizo kubwa tunapenda kugenerilize sio wanawake wote wanapenda pesa, wako ambao pesa sio sababu ya yeye kumkubalia mwanaume na pesa zako anampiga mwanaume kibuti vizuri tu na hawazi Mara mbili
Na wao wanagongewa mademu zao na wenye hela haya mambo hayana mwenyewe na ndio maana siku hizi wanawake wengi wana waziri wa mambo ya ndani na waziri wa fedha.Nakukumbusha Kuna Wanaume hawana hela Ila wanagonga mademu vibaya mno zaid hata ya wenye hela
NotedMoja kubwa, hakuchoshi na bill zisizo na maana
Point ni kwamba wapoKtk kumi hawazidi watatu.
Wakubahatisha.Point ni kwamba wapo
Tena pole kweri kweriPoleni sana...
Mbona wanawaachaga wenye hela wanaenda kwa masikini? Jidanganyeni tu eti mwanamke hapendiMwanamke hapendi, mwanamke anamuheshimu mwanaume mwenye hela basi
Nipo shogaa. Hatuonani huku siku hizi.. Kijana watu hajambo namshukuru Mungu.Shogake upo?? How is you boy??
Heeeeh. Mwanamke akikupenda utajua mkuu labda na wewe uwe hujui mapenzi yakojeNa nitamjuaje mwanamke anayenipenda? Ili nimwoe