Nionyeshe mwanamke mmoja aliemuacha mwanaume tajiri akenda kwa maskini mie nitakuonye wanawake million moja waliondoka kwa maskini wakaenda kwa tajiri.Mbona wanawaachaga wenye hela wanaenda kwa masikini? Jidanganyeni tu eti mwanamke hapendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionyeshe mwanamke mmoja aliemuacha mwanaume tajiri akenda kwa maskini mie nitakuonye wanawake million moja waliondoka kwa maskini wakaenda kwa tajiri.Mbona wanawaachaga wenye hela wanaenda kwa masikini? Jidanganyeni tu eti mwanamke hapendi
Wapo wengiNionyeshe mwanamke mmoja aliemuacha mwanaume tajiri akenda kwa maskini mie nitakuonye wanawake million moja waliondoka kwa maskini wakaenda kwa tajiri.
Wako wapi mbona hatuwaoni?Wapo wengi
Mbona Sisi wanaume tunawaheshimu Tu hata Kama hatuwapendiKweli kabisa. Huwezi kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Sisi wanawake haiko hivyoMbona Sisi wanaume tunawaheshimu Tu hata Kama hatuwapendi
Kweli kabisa mkuuLove kwenye mahusiano ina-play part ndogo Sana ukishakua na watoto kadhaa ndo utaelewa nachoongea commitment ndo kitu Cha muhimu kwenye mahusiano
Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu.
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Aya jipe moyo vamia tu watu mjini.oa weka ndani
Uje ulie lie hapa
Kama mimi inavyonitesa......Nauhakika bado ni kijana uko 20's ukifika 30's alafu uendelee kuwa single internal struggle itakutesa sana kiasili mwanadamu hajaumbwa kuishi single
Unaongea kirahis rahis sababu bado ni kijana na unanguvu
Nasema tumekwishaaaa!Tenaa sisi wanawakee ni mabingwaa wa kupretend kupendaa..Ila mjuee tu kwamba tunawezaa kuolewaa lkn Kuna mtuu anakuwaa ameutekaa kbsaa moyooo yaan ule upendo wa ndani kbsaaaa..Na hakuna kitu utawezaa kubadilisha lkn tunaweza kuwepo kwenye ndoa kiroho Safi kbsaa lkn tunapendaa kwingineee[emoji3526][emoji3526]
Ivyo vigezo vyao ndio vinafanya wanafika 30 bado hawajaolewa.? Hivi unaweza muoa manzi kwenye 30+ kweli?Watu Wana complicated utafikiri tunaishi milele hapa Dunia yaan unakuta mwanamke ana Lundo la vigezo
Kumheshimu mtu mpaka umpende duh makubwaKweli kabisa. Huwezi kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Ndio nashangaa. Sijui mawazo ya wapi haya. Tumefunzwa kuwaheshimu watu bila kujali hali zaoKumheshimu mtu mpaka umpende duh makubwa
Una akili, kabla ya mwanamke kuolewa na Mwanaume lazima ajitafakari Ikiwa ataweza kumheshimu. Kupenda wawaachie wanaume.Kwani mwanamke anatakiwa kupenda, sie tumeagizwa kutii
Very true... [emoji817]Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu.
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa