Wanawake tunapenda wanaume wenye pesa na gari

Wanawake tunapenda wanaume wenye pesa na gari

Kama ni mwanamke basi ni wale wa kuja wafuga mikucha, na minywele mpaka kwa visigino... kama ni wakiume basi marinda huna, wanaume washatatua kitamboo!
𝐡𝐮𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞 𝐧𝐚 𝐚𝐧𝐚𝐬𝐡𝐢𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐥𝐢
 
Ninyi ndio mnaofilw@ga
Au ukiombwa tu 071 hukawii kutoa!

Sema nini.. bora wewe unaeonesha makucha yako kuliko wale wa nakupenda tu ulivyoo
 
Yani hpo unadhihirsha kuwa unapenda tu hela na sio mapnz ya kweli, hzo ni dalili za umalaya huo na ufuska
kaja juzi na Moto wa kifuu, aibu naona Mimi, ndomana tunachambwaga humu kwa Mambo Kama haya.
 
huyo anaetaka niwe na pesa/gari/nyumba n.k, akitoa Kei akaiweka pembeni ana nini kingine cha kuni_offer?
 
Back
Top Bottom