smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Hawa unawatetea wewe hawa!! ngoja siku wakulize ndo utajua mbivu na mbichi......sisi midomo yetu ndo ilivo ni maumbile kusema hovyo ajili ya hormones zetu sasa tujikatae?? utatoaje hizo homons mwilini sasa??
sisi kuongea km cherehani ndo zetu babu, tiba kwetu hata wao wanapenda! kusikiliza kinanda sauti nyororo! tena wanasimuliana huko makazini mwao, wanatuitaga ''kimeo changu, jana bwana .... hikooo......
chunguza tu yaani siku ukisema sana
atakupiga nazo zooote! af anaamka amefurahiiiiiiiiii! mwee mtuachege hukooo! hatukomi!
sisi kuongea km cherehani ndo zetu babu, tiba kwetu hata wao wanapenda! kusikiliza kinanda sauti nyororo! tena wanasimuliana huko makazini mwao, wanatuitaga ''kimeo changu, jana bwana .... hikooo......
chunguza tu yaani siku ukisema sana
atakupiga nazo zooote! af anaamka amefurahiiiiiiiiii! mwee mtuachege hukooo! hatukomi!