Wanawake tupunguze mdomo, tunawaponza waume zetu wenyewe

Hawa unawatetea wewe hawa!! ngoja siku wakulize ndo utajua mbivu na mbichi......sisi midomo yetu ndo ilivo ni maumbile kusema hovyo ajili ya hormones zetu sasa tujikatae?? utatoaje hizo homons mwilini sasa??

sisi kuongea km cherehani ndo zetu babu, tiba kwetu hata wao wanapenda! kusikiliza kinanda sauti nyororo! tena wanasimuliana huko makazini mwao, wanatuitaga ''kimeo changu, jana bwana .... hikooo......

chunguza tu yaani siku ukisema sana

atakupiga nazo zooote! af anaamka amefurahiiiiiiiiii! mwee mtuachege hukooo! hatukomi!
 

Hujanielewa dada nimeongelea maneno mabaya hata km ni ww mumeo akikuongelesha vibaya lazima umaindi hata shoo unaweza kumnyima.
 
Hujanielewa dada nimeongelea maneno mabaya hata km ni ww mumeo akikuongelesha vibaya lazima umaindi hata shoo unaweza kumnyima.
Ubaya ni tafsiri na akili yako mwenyewe! vile unavyo yapokea bichwani mwako huko, na gujiroho gwa kuzimu! wala siyo ya muongeaji!......Mfano Mume ananunua gari ya familia lkn mke anaona sasa

anataka kutukoga/komesha na kigari chake cha masimango hiki??...ngoja na mie ntanunua yangu na wanangu tu ili asitie kikwapa humu!........lkn ke mwingine me wake akinunua gari yuko kiroho swafiii hata kwa kumuona, ni km yake vile!
 
Naomba uongezewe ulinzi tafadhali
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Hapo Judithkaunda katoka kuahidiwa samsung S21 na mumewe, ndo anaona mapenzi yote ni yake, na anajikuta anayajua!

Siku mkikosana urudi hapa kutuponda wanaume[emoji3062] Shwain
 
WanAwake wa siku ni kichwa ngumu,pasua kichwa,unatakiwa moyo wa chuma kuwavumilia&kuwaelewa sisi waume.
 
Kama hormones zinakupelekesha then nenda hospital wakasaidie kuzibalance. Kama umeshindwa kwenda hospital then nenda hata jalalani ukaongee ukimaliza hormones zako urudi ndani na adabu mdomoni.

Maana sisi wanaume hormones zetu huwa tukipigiwa makelele na mwanamke asiyejitambua na hana adabu huwa zinatuambia kuwalamba makofi na mabao ili kuzibalance hizo hormones.
 
wanaume hormones zetu huwa tukipigiwa makelele na mwanamke asiyejitambua na hana adabu huwa zinatuambia kuwalamba makofi na mabao ili kuzibalance hizo hormones.
Basi wewe utakuwa Mwenzetu kabisaa! Dume kabisa anilambe makofi weee!! wkt nina kipigio chake nakijua? ataanzaje kwanza? ebu piga tuone km weye mwanume kweli piga...!!

Tena sisi kwa kipigo chetu bab kubwa huwaga mnalia kwa Besi uongo???

Si unaona kule face buku kuna midume mi lainiii! kma sisi tu! yamkini weye ni mojawapo.......sidhani hapo ulipo unatamani kulia! ni ke tu Duniani anaemliza Me rijali, Majemadari wa Dunia km Saddam Hussein!

Alipo nyongwa na dume hakulia! ....lkn angenyongwa na ke angelia sana.....Leo hii mnasota Duniani humu ajili ya papuchi zetu hizi! hizi! uongo!...km kweli jaribu kumlamba mke makofi uozee kusiko julikana!

sI Unajua kulamba watu makofi nenda kituoni au hapo kariakoo mlambe kofi mkeo moja tuu uone moto wake!! lkn ke akikulamba makofi kariakoo aaaah!! raha tuu yaani! .......si jaribu uoneee!

usilete za Mtwara wewe zoba! waliosema kE Wana run Dunia walimaanisha!...hii ni Dunia Mali yao, nyie me ni vibarua wa hiari tu! ukisusa wenzio wala!..kazi kwako .............upige! mbususu!!....... thubutuuu!

wenye hasira wanao jua kuzila watakuua! live!... ....... Hakiii ya naniliu ndo siku hiyo utamjua Mume mwenza!
 
Hapa nlikuwa nawasiliana na Hawa waliojenga sanamu la pale Posta. Mnara wa Askari. Bado nawatafuta wale wakandarasi. Then sasa naleta Muswada kwa Wanaume humu ndani na Wanawame wenye Akili. Huyu Mleta Hoja Sanamu yake Ikawekwe wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…