Wanawake tupunguze mdomo, tunawaponza waume zetu wenyewe

Hapa nlikuwa nawasiliana na Hawa waliojenga sanamu la pale Posta. Mnara wa Askari. Bado nawatafuta wale wakandarasi. Then sasa naleta Muswada kwa Wanaume humu ndani na Wanawame wenye Akili. Huyu Mleta Hoja Sanamu yake Ikawekwe wapi?
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwa hawapendi kuambiwa ukweli,hapa naona wengi hawatachangia zaidi ya kuishia kusonya....
 
wakati mwingine huwa tunapotezea tu ukiona makelele yamezidi....
 
Mimi hayo makelele huwa nayapuuza yanaingia sikio hili na kutokea upandr wa pili na yananisaidia kupata usingizi..

Ila hasara yake nikiyasikia basi naweza nisiongee na Mtu hata Mwezi na hata kutiana sitaki kabisaa maana nakua Sina mood na huwa sitaki kabisa habari za eti kubembelezwa,mimi huwa najibembeleza sibembelezwi na hata mimi ni nadra Sana nikabembeleza mke..
 
Upewe ulizii Mkuu huyu,na lijengwe Lisanamu pale kwenye Jiji letu pendwa la Kaskazini

Nalo niiiiiii


Arusha Maeneo ya Uzunguni
 
Wangu namtishia kumfumua na kweli siku akijilengesha mabanzi yanamuhusu
 
Hapo unajiona unaakili mwenyewe baada ya kuhara namna hii
 
Hiki kweli kiredio Cha mtaaa.
Khaaaaa!!
 
Chagua tukujengee wapi sanamu lako?
 
Mwanaume anaeishi na mwanamke kama huyo inabidi ampige surprise moja. Siku akirudi kazi amwambie kesho ntakupa nauli uende kwenu ukasalimie

Hapo mapenzi lazima yarudi.
 
Hapo unajiona unaakili mwenyewe baada ya kuhara namna hii
Teh! teheee! teee! ..... Ukiona hivo umenikubali vibaya sana! kamata hekima bure dogo zitakusaidia! na ndo ukweli kwani hamuliagiii besi nyie vimburu??...si unaona wenzako wamepiga kimyaaa!!

Yaani sisi ke'' tukiongeaga tu me'' woote marijali kimyaaaa!...hata humu uliwahi ona wapi ke'' anasemwa hovyo! hali ni tofauti na nyie me mnavo shambuliana?? popote Duniani ke''haguswi kamwe!

Angalia Gaddafi kafa hovyo lkn wale ma- body guard wake wa kike wapo woote mpaka leo, na kazi nzuriiii!..hata kaka Jambazi akikuvamia leo!! mkeo ataachwa uongo!! tunavo heshimika!

Hata JKT mituringa yanabeba madume tu, Sijui kulima kumwaga zege, ni midume!! lkn ke weee! thubutu! hatuguswi! ukituzama kwa wenye akili mingi Ulaya ndo kabisaaaa!!

hata ukimuangalia ke' kwa jicho la kufinya hivi tu! utapata tabu sana!...hata ile kumwambia neno ''uharo'' tu! tayari umefungiwa na una tafutwa!

kwa nyie Manyani ni sawa tu! kusema chochote ili mradi mko porini!........basi ujue hii ndo maana mnaitwa manyani!
 
Swala la kutoingiza kipato na kuwa na mdomo vinahusiana?maana naona hapa umejikita kwenye wale wasiokuwa na kipato
 
Swala la kutoingiza kipato na kuwa na mdomo vinahusiana?maana naona hapa umejikita kwenye wale wasiokuwa na kipato
Haswa nimeongelea wamama wa nyumbani hao wengine kesi Yao tofauti kidogo ingawa wapo wenye mdomo lakn wanaonekana km wanawanyanyasa kumbe ndio asili yetu kuongea.
 
Watakuponda na kusema umewasaliti wanawake wenzio
Walaaa ni kweli tuna midomo,bila midomo yetu nyumba haichangamki bwana,mapenzi yanoge leo nuna kesho cheka keshokutwa fanya hili siku nyingine onyesha mahaba mpk vinyweleo visimame n.k .nk yani maisha ya ndoa mkiyapeleka straight kama sala ya komunyo hayanogiii. Ila midomo isivuke mipaka mpk kuvunjiana heshima.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…