FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My dia hawa viumbe ukiwaendekeza unaweza ukafa cku si zako,Iliyobaki kwa sasa ni kufanya kazi kwa nguvu zote ili kuepuka utegemezi usiokuwa na kichwa wala miguu ,tunza sana na jali sana watoto wako pamoja na yeye,na hata akirudi baada ya cku tatu wala usimnunie mpokee vizuri tu na maji ya moto muandalie na pia uwe unamkumbusha tu sweetie huko unakoenda uwe unakumbuka hata kinga jamani!
Nani kakwambia revenge lazima urushe ngumi bana...ni kwakujipa pumziko so huyo mume aone asione haisumbui so long yeye mwanamke kapata tulizo..na impact utaiona tu maana kitabia ataanza kutokukujali nahilo huwaumiza sana spishi ya kiume
heheee! So many relationships, yet little love....please ukiwa na hamu ya revenge ya mtu wako
ni pm please
Kaanza nani mchezo mchafu?Mother f**** Thats the babilone idea hasa napoona mwanamke ndo anayetetea kupoteza hiki kizazi kwa kusuport umalaya!!!!