Wanawake: Ukiona mume wako anakusumbua mara kwa mara anahitaji tendo la ndoa, shukuru sana

Wanawake: Ukiona mume wako anakusumbua mara kwa mara anahitaji tendo la ndoa, shukuru sana

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Kwa kizazi hiki na miaka hii, ukiona mume wako anakusumbua mara kwa mara anahitaji tendo la ndoa, shukuru sana, ikiwezekana mpongeze. Nakwambia kuna wenzako wanaishi na mume nyumba moja kitanda kimoja tena wanalala bila nguo lakini jamaa kanyamaza tu, na wife akiamua kunyamaza basi wanaweza kugonga miezi ya kuhesabu, wala baba mlipa ada haoni shida yoyote.

Nakwambia ukisumbuliwa sumbuka, kuna wanaotamani kusumbuka ila hawasumbuliwi. Shauri yako #ChrisMauki
IMG_9358.JPG
 
Wasijesema hawakumbushwi
[emoji38][emoji38]



Bnafsi sjafkia kwenye ndoa ila nimeshaexperience kwnye mahusiano niliyopitia wanawake wengi wanapenda sana kususia tendo mda mwngne bila hata sababu ya msingi. Waliopo kwenye ndoa nadhani wana majibu zaidi kuhusu hili watusaidie.
Sababu ya akili za kimasikini tu. Mtu ambaye anaamua kukukomesha kwa style hiyo hajitambui.
 
Back
Top Bottom