Wanawake: Ukiona mume wako anakusumbua mara kwa mara anahitaji tendo la ndoa, shukuru sana

Wanawake: Ukiona mume wako anakusumbua mara kwa mara anahitaji tendo la ndoa, shukuru sana

😂😂 hiyo picha Sasa..🤣🤣
 
[emoji23][emoji23] hiyo picha Sasa..🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we ulisikia wapi uzi bila picha

Maisha ya ndo kila mmoja akianza kuact yeye yupo juu zaidi ya mwenzie au yeye ni bora zaidi,basi hapo tena inakua hakuna maisha ya amani wala upendo.

Ila hii tabia kwa asilimia kubwa ipo kwa wanawake sana tatzo linakuwa kwao kwa uwingi tofauti na kwa wanaume
 
Ni kweli mkuu... Kuna ndoa upendo ulishakufa zamani wamebaki kulea watoto tu.
Maisha ya hvyo ni mateso matupu naomba Mungu isijekuwa hvyo kwangu.

Sababu ya akili za kimasikini tu. Mtu ambaye anaamua kukukomesha kwa style hiyo hajitambui.

Wengi wanajitetea na kauli ya upendo/ndoa sio sex, sikatai ila miezi inakata mnatazamana tu na hakuna tatzo lolote linalozuia mshindwe kufanya tendo. Ni ulimbukeni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu unajua comment yako itanifanya niwashwe talaka tatu.

Uwashwe talaka na nani, au nimetumia ID nyingine! [emoji848]
 
Wasijesema hawakumbushwi
[emoji38][emoji38]



Bnafsi sjafkia kwenye ndoa ila nimeshaexperience kwnye mahusiano niliyopitia wanawake wengi wanapenda sana kususia tendo mda mwngne bila hata sababu ya msingi. Waliopo kwenye ndoa nadhani wana majibu zaidi kuhusu hili watusaidie.
Wanawake wengi wanatumia njia ya kususia tendo la ndoa kama adhabu kwa waume zao.
 
Ikifikia stage hio jua bahariaa atakuwa ameshapata pa kuchuja nje ya box huko.

Akirudi mwepeesiii, hapo ndio mke anaanza kuhanya hanya kwamba mbona jamaa haombi wala haoneshi kumhitaji kimwili. Inawachanganyaga sana. Chanzo ni zile game za kupewa kishingo upande!!!
 
Wanawake wengi wanatumia njia ya kususia tendo la ndoa kama adhabu kwa waume zao.
Ni ujinga sana na wanakosea sana

Ikifikia stage hio jua bahariaa atakuwa ameshapata pa kuchuja nje ya box huko.

Akirudi mwepeesiii, hapo ndio mke anaanza kuhanya hanya kwamba mbona jamaa haombi wala haoneshi kumhitaji kimwili. Inawachanganyaga sana. Chanzo ni zile game za kupewa kishingo upande!!!

Hapo ndio mwanzo wa kumpandsha cheo [emoji16]
 
Back
Top Bottom