Wanawake ukiona unapewa sana attention na wanaume ujue unanuka hapo haupendwi

Wanawake ukiona unapewa sana attention na wanaume ujue unanuka hapo haupendwi

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Wanawake ukiona unapewa sana attention na wanaume ujue unanuka hapo haupendwi

NANUKUU..
Wahenga walisema "kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza hapo hapo wakatuambia mavi ya kale hayanuki"

Enyi wanawake mnao ishi kwa kuhisi muda wote nakupenda sana kupewa attention na wanaume mjue mnanuka hampendwi. inzi anapenda harufu mbaya mwanaume anayekupa attention hana tofauti na Inzi, na kwenye uchafu siku zote mainzi wanajaa sehemu chafu na yenye harufu mbaya hivyo hivyo mwanamke ukiona wanaume wanajazana kukupa attention ujue unanuka nasiyo kupendwa.

Kwanini na yasema haya.

1: Mwanamke ukivaa nguo za nusu uchi , fupi fupi wanaume watakupa attention na kukushobokea sana, utachangamkiwa na kusifiwa kila mahali kuwa umependeza na utatongozwa kila njia utakayopita kaa ukijua unanuka hapo haupendwi

Wapo hadi waume za watu watakushobokea na wengine tutageuka nyuma.. utajiona unapendwa ila kaa ukijua hapo haupendi bali unanuka umalaya , ukahaba na tabia mbaya na utachezewa na wanaume kama vile Inzi wanavyo chezea kinyesi nawe utakua hivyo hivyo. Duniani hakuna mwanaume mwenye akili timamu atapenda kutembea au kuwa na mwanamke anaye vaa nusu uchi.

2: Mwanamke ukiona mwanaume anakupa sana attention kwenye kila unachokiongea na anakubaliana na wewe kwa kila kitu kaa ukijua unanuka.

Siku zote inzi wanapokua wanashangilia kinyesi huwa wanalia kwa kupiga makelele. Ukiona mwanaume uliyenaye anakusikiliza sana anakupa attention kwa kila usemalo kaa ukijua unanuka makelele anajifanya kukusikiliza ili umalize kuongea umtolee kelele zako. Wanaume tunajua kabisa kama hatutaki kumsikiliza mwanamke hatumpi attention anapoongea wala kuuliza maswali au kurekebisha jambo maana tunajua tukifanya hivyo makelele yataongezeka na maongezi yatakua mengi na tunaamua kuswitch off na kukupa attention. Kaa ukijua unanuka hapo haupendwi kamwe .mwanaume akikupenda atakuchallenge sana kwenye mazungumzo yako ili uzidi kufunguka akujue vilivyo.

3: Mwanamke ukiona una suka manywele hadi kiunoni, unafuga makucha makubwa makubwa, umetoboa masikio na pua mara nyingi na kujaza mahereni na vipini , mbaya zaidi unajiweka kislay queen na kujifanya ni mtoto wa town alafu wanaume wanakupa attention kaa ukijua unanuka haupendwi.

Sisi wanaume tunapenda mwanamke anayeweza kuwa mke na kuwa mama kwa watoto wetu mtakao tuzalia, mkitaka kujua ngalieni wake zetu wanavyojiweka alafu mjifananishe nao. Ndipo mtagundua kwamba nyie mnanuka hampendwi.

4: Mwanamke ukiona umechora tatoo, unavaa vikuku, shanga kiunoni na kuzionyesha huko barabarani na wanaume wanakupa attention sana ,usijione unapendwa kaa ukijua unanuka. Tena una nuka ile harufu mbaya ya udada poa.

5: Mwanamke ukiolewa na ukaona unapewa sana attention na wanaume wengine na wewe unafurahia kaa ukijua unanuka na wewe ni mpumbavu sana

Mke wa mtu hajirahisishi, mke wa mtu anajiheshimu ili mumewe na yeye aheshimike kwenye jamii. Sisi wanaume tunajua kabisa mke wa mtu ni sumu mbaya sana ila ukijirahisisha tutakupa attention tukuchezee na kukuharibia ndoa yako ubaki kuwa single maza alafu tukuzomee na kukuchela. Ewe mwanamke ukiona umeolewa na bado unapewa sana attention na wanaume huko nje kaa ukijua unanuka, jitafakari upya haraka sana lasihivyo utavunja ndoa yako mwenyewe kwa kuona unapendwa sana na wanaume huko nje. anza kujichunguza maongezi yako, anza kujichunguza mavazi yako , anza kuchunguza mienendo yako na hao marafiki zako utajua tuu unanuka ndiyo maana unapewa attention.

Hakika wanaume tukijua umeolewa tunajua hii ni sumu na ukiwa serious hakuna wanaume watakao kusogelea au kukuchangamkia.

6: Wanawake mkijirahisisha kwa wanaume kaeni mkijua mnanuka, sisi wanaume hatupendi wanawake warahisi ndiyo maana tukisikia huyu demu ni mgumu anajielewa huwa tunatamani sana kuwa nae. Mwanamke ukiwa mrahisi tunakuchezea na kukuacha hapo tunaenda kwa demu mgumu anayejielewa hatoi papuchi yake hovyo wala hana muda na wanaume, ukiwa mrahisi tunasema hili demu ni danga halijielewi ni cha wote na vijiweni utakuta tunakuzungumzia vibaya, hatutaki kutembea na mwanamke anayenukia harufu mbaya ya kuwa rahisi rahisi kwa kila mwanaume, wewe tutakuchezea sana na kukuacha hapo.

7: Wanawake mkiona mmefanya vimbwanga , mkajikuta masupper woman hadi mmevunja ndoa zenu na kua masingle maza wa kujitakia na bado wanaume wanawapa attention huko nje kaeni mkijua mnanuka hampendwi hampendwi ndiyo maana wanaume kila kukicha tunaelekezana na kusisitizana sana kuwaepuka single maza maana tunajua single maza hawanukii manukato mazuri ya malavidavi , tunajua kuwa na single maza ni kujitafutia maradhi na kunukia vibaya. Tunajua kuwa na single maza na kuacha mabinti wadogo wa bichi na kwenda kuoa mke wa mtu aliye achika ni nuksi. Mbaya zaidi kila tukikuona tunajua kabisa unanukia harufu ya mume wako kurudi na kuja kupasha kiporo ndo maana tunataka kuliona kaburi la mwanaume uliye zaa. Ukiona wewe ni single maza na unapewa attention na wanaume jua haupendi bali unanuka.

Kumbukeni enyi kizazi cha utandawazi, wahenga waliposema mavi ya kale hayanuki walikua wanamaana kubwa sana, kwamba mila, kanuni na taratibu, tamaduni na desturi za kale za malezi, heshima na utii kwa mume hata kuwe na utandawazi kivipi haviwezi kunuka vitabaki pale pale na ndoo maana mfumo wa utawala bado upo mikononi mwa wanaume hata mfanyaje hamuwezi kutunyang'anya isipo kuwa mnatuweka mbali na nyie. Na ndivyo kukaibuka sakata la kataa ndoa na kupelekea single maza wengi sana. Kizuri kinajiuza , ukiwa mzuri kaa utulie wanaume tutakuweka ndani na uzuri siyo sura eleweni hili, kibaya kinajitembeza ukijitembeza tutajua unatabia mbaya na tutakuchezea sana kila ukuni utadumbukia kwenye hiyo nyapu na kupiga kama unaua nyoka na mwisho wasiku kutelekezwa hapo uje useme wanaume wote ni umbwa.

Nb. Wanawake attention tunazo wapa sisi wanaume huo sio upendo, sisi macho yetu yapo katikati ya mapaja yenu na ma -tea tea yenu, tuteleze tuondoke zetu. Usione unasifiwa na kupewa pewa attention ukazani unapendwa ujue kabisa unanuka
Nimewasilisha
 
Wao ndio wanapenda attention , mwanamke ukishajiona unapapatikiwa jua wanaume wameona wewe ni rahisi kutrombeka, zipo pisi Kali za maana zinajiheshimu hadi kuomba namba unapanga plan na huwezi kuta zinacheka hovyo,
 
Wao ndio wanapenda attention , mwanamke ukishajiona unapapatikiwa jua wanaume wameona wewe ni rahisi kutrombeka, zipo pisi Kali za maana zinajiheshimu hadi kuomba namba unapanga plan na huwezi kuta zinacheka hovyo,
Ni kweli mkuu nakazia sana
 
Back
Top Bottom