Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,691
- 2,967
- Thread starter
- #21
CV yangu unaijua???
Sio kila kitu lazima ulete mitandaoni vingine vinakushushia CV.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila kitu lazima ulete mitandaoni vingine vinakushushia CV.
Wewe unajitoamara ooh hatutaki mawigi..ooh single maza hawafai..ooh tunataka msambwanda...sasa watu mmehamia kwenye chupi..wanawake kazi wanayo
Wewe unajitoa
Wakituhurumia tunawaradharau... Wakitupiga tunalialia na kuwaita wadangaji na wafilisi... Kuna baadhi ya vijana wa kiume hawana shukrani [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"
Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package
Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho
Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=
Hata Nandy mwenye kabadirika now
Uzi tayari
View attachment 1147618
kwenye ishu ya chupi mie nimejivua gambaWewe unajitoa
ntawapunguzia kaziJaribu kuwasaidia uwapunguzie kazi maana inaoneka unawaonea huruma kama sio wivu
Mswahili bana eti hata kutajaga chupi anaona aibu eti tafsida nguo ya ndani. Kutaja mimba vile x2 yani Mmatumbi anaona haya eti mjamzito.Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"
Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package
Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho
Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=
Hata Nandy mwenye kabadirika now
Uzi tayari
View attachment 1147618
Ndogo izo hazinitoshi.... Zingekua zinanitosha ningenyoosha kidoleNani anataka hizo kufuli nimnunulie hiyo dozen ya elf 11
aise
Daaah...[emoji3][emoji3]Chuupiii
Kificha utamu.
Wee nae mmbea....[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee nae mmbea....
asante kwa kunimwagia misifa Mimi; utaendelea kula vinono aggyjay dukani zimeisha apo nimuongezee nyingine mtarajiwa wangu hapa.Mtarajiwa wangu ananinunuliaga zile za moja elfu 20
Mtarajiwa wangu ananinunuliaga zile za moja elfu 20
Ila vazi la chupi kwa mwanamke lina hadhi yake kwakweli. Ukikuta mwanamke kajipiga taiti haina mzuka kabisa ila kyupi[emoji3] kama hiyo nyeupe yenye tuua ua hapo[emoji39][emoji39]Mwanamke kuwa mmbea sunnah [emoji2][emoji2]
Daaah...[emoji3][emoji3]Chuupiii
Kificha utamu.