Wanawake Vaeni chupi za gharama

Wanawake Vaeni chupi za gharama

Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
View attachment 1147618
Wakituhurumia tunawaradharau... Wakitupiga tunalialia na kuwaita wadangaji na wafilisi... Kuna baadhi ya vijana wa kiume hawana shukrani [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Kizazi cha Facebook kinawaza mambo ya kijinga tu

Badala ufikirie mengineyo unawaza danga

Eti @Ghalama badala ya Gharama
 
Nani anataka hizo kufuli nimnunulie hiyo dozen ya elf 11
 
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
View attachment 1147618
Mswahili bana eti hata kutajaga chupi anaona aibu eti tafsida nguo ya ndani. Kutaja mimba vile x2 yani Mmatumbi anaona haya eti mjamzito.

Mswahili anaponiacha hoi anapimtambulisha mme wake ama mke utasikia huyu mista wangu au huyu ni misez wangu eti tafsida hapo.

Laiti hizi nizam za kisoro zingewekwa na kutiliwa mkazo kwenye uchumi na maisha bora na weledi wa kufanya kazi tungekuwa mbali sana
 
Back
Top Bottom