Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Hivi kwanini wanawake siku za ibada hasa jumapili, wanaifanya kama ni siku ya fasheni na kujionyesha kwenye kujipamba na mavazi tofauti na makusudi ya imani.
Kuna wanawake bila nguo mpya anaona ibada kwake haina maana(mashindano ya mavazi). Kuna wanake bila wigi jipya anaona ibada haina maana.
Wanataka wanapokuwa kwenye nyumba za ibada wameki tensheni badala ya kumuomba Mungu. Wengine wanaenda mbali zaidi kimatendo kwa kuvaa mavazi yanayowachora maumbile yao hadi ya ndani kwenye nyumba za ibada.
Rai kwa viongozi wa dini kemeeni hayo yanayofanywa na wanawake kwenye nyumba za ibada. Wengine watajitetea kuwa Mungu ana angalia moyo na siyo mavazi hilo si kweli.
Waliokuwa ibadani na wanaotaka kwenda Mungu awatangulie na muwe na jumapili njema.
Kuna wanawake bila nguo mpya anaona ibada kwake haina maana(mashindano ya mavazi). Kuna wanake bila wigi jipya anaona ibada haina maana.
Wanataka wanapokuwa kwenye nyumba za ibada wameki tensheni badala ya kumuomba Mungu. Wengine wanaenda mbali zaidi kimatendo kwa kuvaa mavazi yanayowachora maumbile yao hadi ya ndani kwenye nyumba za ibada.
Rai kwa viongozi wa dini kemeeni hayo yanayofanywa na wanawake kwenye nyumba za ibada. Wengine watajitetea kuwa Mungu ana angalia moyo na siyo mavazi hilo si kweli.
Waliokuwa ibadani na wanaotaka kwenda Mungu awatangulie na muwe na jumapili njema.