Wanawake vaeni mavazi ya heshima kwenye nyumba za ibada

Wanawake vaeni mavazi ya heshima kwenye nyumba za ibada

Mkuu ulivyosema upo shua nikajua unaeleza njia ya kuwasilisha maoni au malalamiko iliyowekwa na kanisa la jamaa, kumbe umehisi tu. Rekebisha hapo kuwa unafikiri na sio upo shua.

Ila kuhusu kutoa maoni mitandaoni ni kwa ajili ya kusaidia wengi, wa kanisa husika la jamaa na wa makanisa mengine pia
Unaenda kusali au kuangalia watu wamevaaje..?
Alafu wewe utakuwa mnafki, maana ulitakiwa ku address tatizo eneo hilo ulipokuwepo kupitia right channel za kanisa unalosali. I am sure kuna namna yenu ya kupeleka malalamiko hapo unaposali ila wewe ukachagua kuja kuandika mitandaoni ambapo probably hao uliowalenga hawapo.

Luka 6:41 inasema hivi,

“Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au, utawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu yangu, niache nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako.”
Acha kushabikia maovu, swala la uvaaji wa hovyo si la sehemu moja kama ni mdadisi na imani huitaji kuvaa miwani uone bali vinaonekana.
 
Acha kushabikia maovu, swala la uvaaji wa hovyo si la sehemu moja kama ni mdadisi na imani huitaji kuvaa miwani uone bali vinaonekana.
Mkuu, umeni-quote na kunisema nisipostahili😃😃

Mimi naungana nawe kuwa mtoa mada ameisema mahali sahihi
 
Back
Top Bottom