Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hua nashangaa watu wanao jikeep busy kutaka kushindana na nature,Wanawake wanapenda kuonekana sehemu yyte yenye uwingi wa watu.
Iwe kanisani iwe bar iwe msibani popote pale?
Ndio tabia zao na ndivyo walivyoumbwa
Hivi Tanzania ndiyo ile nchi ambayo wanafunzi wa kike wanavaa sketi ndefu zinazogusa kwenye vifundo vya miguu, lakini inaongoza kwa wanafunzi wa kike kupata mimba? Hivi ni ile nchi ofisi za serikali wanakaza wanawake waliovaa sketi fupi kupata huduma lakini inaongoza kwa nyumba ndogo?Wanawake wanapenda kuonekana sehemu yyte yenye uwingi wa watu.
Iwe kanisani iwe bar iwe msibani popote pale?
Ndio tabia zao na ndivyo walivyoumbwa
Una bahati umekutana na Wazee wa Kanisa wa kiroho hasa. Mimi ningechukua mawasiliano tayari kwa ajili ya kukukaza.nimefika tu kanisani mlangoni nikavutwa na wazee wa kanisa kisha wakanifunga kitenge,,sjui niliwakosea nini😫😫
mtu hovyo sana wew 😂Una bahati umekutana na Wazee wa Kanisa wa kiroho hasa. Mimi ningechukua mawasiliano tayari kwa ajili ya kukukaza.
Mkuu,Unaenda kusali au kuangalia watu wamevaaje..?
Alafu wewe utakuwa mnafki, maana ulitakiwa ku address tatizo eneo hilo ulipokuwepo kupitia right channel za kanisa unalosali. I am sure kuna namna yenu ya kupeleka malalamiko hapo unaposali ila wewe ukachagua kuja kuandika mitandaoni ambapo probably hao uliowalenga hawapo.
Luka 6:41 inasema hivi,
“Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii? Au, utawezaje kumwambia ndugu yako, Ndugu yangu, niache nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako, nawe huiangalii boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako.”
Mkuu, mimi ni mdhaifu sana kwa loose balls kama hizo. Siwezagi kabisa kuziacha, yaani kama J.B Mpiana tu. 😆🤣mtu hovyo sana wew 😂
kwakwel ili kuepuka watu kama wewe sirudii tena kuvaa ivo 🤣Mkuu, mimi ni mdhaifu sana kwa loose balls kama hizo. Siwezagi kabisa kuziacha, yaani kama J.B Mpiana tu. 😆🤣