Wanawake Vs Wanaume Calls to friends

Wanawake Vs Wanaume Calls to friends

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
STORY ZA WASICHANA KTK SIM
Mary... Hallow mpenzii
Lily.... Niambie my dear
Mary.. Pouwaa za siku jamani
Lily.... Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary.. Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily..... Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii
BAADA YA KUKATA SIMU... KILA
MMOJA ANAWAZA
Lily..... Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary... Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!
STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU
John.... Niaje we mbwaa
Sam.... Pouwa kichaa wanguu
John... Upo wap mpumbavu wewe
Sam... Niko hom, we fala Uko wap?
John.. Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa... Pouwaa we ms**nge
nakusubiri
BAADA YA KUKATA SIMU....KILA
MMOJA ANAWAZA
John... Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long time
Sam.... John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.
FUNZO.. Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa maneno
lkn ni Kwa nje tu!! lkn WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA
UWONGO AU UKWELI??
 
STORY ZA WASICHANA KTK SIM
Mary... Hallow mpenzii
Lily.... Niambie my dear
Mary.. Pouwaa za siku jamani
Lily.... Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary.. Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily..... Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii
BAADA YA KUKATA SIMU... KILA
MMOJA ANAWAZA
Lily..... Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary... Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!
STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU
John.... Niaje we mbwaa
Sam.... Pouwa kichaa wanguu
John... Upo wap mpumbavu wewe
Sam... Niko hom, we fala Uko wap?
John.. Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa... Pouwaa we ms**nge
nakusubiri
BAADA YA KUKATA SIMU....KILA
MMOJA ANAWAZA
John... Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long time
Sam.... John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.
FUNZO.. Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa maneno
lkn ni Kwa nje tu!! lkn WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA
UWONGO AU UKWELI??
Dah! Umeongea ukweli kwa kiasi fulani.

Rafiki yangu wa kila siku tunavyoitana kwa phone dah!
Ananiita haramia wa Somalia nami namuita Boko Haram.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]
Dah! Umeongea ukweli kwa kiasi fulani.

Rafiki yangu wa kila siku tunavyoitana kwa phone dah!
Ananiita haramia wa Somalia nami namuita Boko Haram.
 
Dah! Umeongea ukweli kwa kiasi fulani.

Rafiki yangu wa kila siku tunavyoitana kwa phone dah!
Ananiita haramia wa Somalia nami namuita Boko Haram.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unafiki upo damuni mwetu ndo maana napendelea kuwa na marafiki wa kiume kuliko wa kike,,
 
John: Leo wapi tukafanye ujambazi?
Ali: Kwa mamayako pale pa jana mwanangu.
John: Yule mama hana swagga kaka Bora mamayako wa Sinza mori tukamfanyie leo.
Ali: Mwanangu huna mshiko nini leo bora tukale pale pa jana si umemuona yule mtoto wa mama analika kama pilau yake.
John: Kwahio leo utalipia jambazi sugu mwenzio nipo mtupu wewe beba machera tu leo.
Ali: Usijali punda wangu leo nabeba mzigo wako ikifika mida tutakwenda kumla yule mama na mwanawe.
John: Hio fresh msenge wangu

Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom