Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

Wanawake sik zote wana matatizo sana hawa. Hawajielewi na wala hawaeleweki. Ndivyo walivyo. Hata Sasa naangalia star TV wanahojiwa hawana cha maana wanachoongea.
 
Bayebe,Tatizo hawa akina mama wanapotoshwa na kulishwa maneno kama kasuku.Huwa hawaelewi nini hasa maana ya usawa wa Jinsia katika fursa na nafasi " mara nyingi wanazungumzia EQUALITY lakini kichekesho wanasahau kuwa njia ya kufikia EQUALITY ni kuwepo kwa "EQUITY" au "FAIRNESS".

USAWA WAJINSIA SIYO USAWA WAWANAWAKE NA WANAUME KATIKA NAFASI ZA UONGOZI ni zaidi ya hapo...iwapo kuchagua mwanamke na mwanaume kama kigezo cha maendeleo ya jinsia basi our Union Parliament is More genderised ! Hebu sasa tuone na tutafakari iwapo watu tunaridhika na Bunge letu linaloongozwa na mwanamama Anna Makinda.Hata hii Affirmative Action ya kuwapa Viti Maalum imepitwa na wakati na inatumika vibaya. Anayetaka agombee kama wengine waache kupenda vitu vya dezo.
 
Wanawake ni wanawake tuu we utaona watapewa nafasi moja kasheshe lake utakuta kila anayempitisha watamsusia let say wampitishe Anna Kilango Malecela wapo sasa..........................?
 
Hao wa jinsia ya kike walioshupalia suala hilo si umeona wanatoka pande gani haswa ya muungano? Si umeona wengi ni kutoka bara ambao wengi wao wanatabia za kiume. Wanawake wa Zanzibari wametulia na wana maadili haswa ya jinsia ya kike inavyopaswa kuwa, si wabishi wala si waropokaji. Hivyo hii ni strategy ya kusaidia kufikia muafaka wa pande za muungano. Ni faraja angalao hili limekubalika katika ngazi za kamati.

tatizo ni kwamba wanadai nafasi sawa lakini wanayofanya ni hovyo.ref mama makinda.
 
Hayo mambo wanayoyadai hao wanawake hayapo,hata vitabu vya dini vinasema mwanaume ni kichwa cha familia.
Wanachokifanya sasa ni kwenda kinyume na Mungu baaasi.

mbali na vitabu vya dini,wangekuwa na historia kubwa kiutendaji isingekuwa na shida mbona.tatzo wanachukulia malezi ya familia ni sawa na kuongoza nchi.
 
Kwani hujui wanawake hawapendani! Wanawake ni viumbe waajabu, ukisoma hata Biblia tunaaswa kuishi nao kwa AKILI!

Kwa mfano mwanamke akienda kwenye ofisi akakuta mwanamke mwenzake ndo boss hapendi..
Anaona ni heri akutane na mwanaume kuliko mwanamke mwenzie.

WANAWAKE NI DHAIFU, LAKINI TUNAPASWA KUISHI NAO KWA AKILI.


Sasa kule bungeni wao wote ni wajumbe sawa, sasa mbona wanataka upendeleo siwagombee jamani? Si wote ni wajumbe sawa?

ETI WANAWAKE NA WANAUME SAWA! Yani tunafika mahali tunapingana hata na MUNGU?

Mwanamke anatoka kwa unbavu wa mwanaume.. Sasa anakuwaje sawa na mwanaume? Kisa wanesoma? Mwanamke hata akisoma atabaki kuwa dhaifu tu!.
 
Wajumbe wanawake Bunge la katiba hivi sasa wamekuwa wakidai kunyanyaswa kijinsia kwa Kugombea moja ya nafasi za juu kabisa (Mwenyekiti wa bunge), Lakini tukumbuke wakati Bunge hili hili la katiba likianza alijitokeza Mwanamama Mwenzao tena Pekee (Mama Lwebangira) na akagombea nafasi ya mwenyekiti wa Muda, Huyu mama kilichomkuta ni zomea zomea na miguno kutoka hata kwa baadhi ya wanawake wenzake, Pia Hakupata kura zaidi ya 80, ingawa ndani ya bunge kuna Akina mama zaidi 200, kumbuka mama Lwebangira ni Mwanasheria/ msomi mzuri na ameendesha mikutano mingi ya ndani ya Nchi na kimataifa na Anajiamini, HUO UMOJA BANDIA WA KUDAI HAKI ZENU UNATOKA WAPI ?

Tuendako watakuja kudai Rais akiwa mwanaume makamu awe mwanamke au wote wakiwa wanaume Waziri mkuu awe mwanamke
 
wanapenda kubebwa bebwa sana hawa,mtu kama Asha rose migiro anasababu gani kusubiri ofa ofa?halafu wakipewa nafasi wanaleta tabia kama za Ana makinda kupendelea ovyo ovyo.
 
Wanawake, wataka kama mwenyekiti akiwa mwanaume basi makamu awe mwanamke,,,,,bunge limewakas moto hapa,,,,

akili ya wanawake wa kiafrika hasa tanzania watu wazima 100 ni sawa na akili ya mtoto wa kiume mmoja ambaye anaelekea kutimiza miaka kumi na miwili, hawa watu ni kama hawajitambui na ndio wanao ongoza kwa unafiki na ulimbukeni na ndio wanao hongeka kirahisi na ccm sababu ya ujinga wao hata waeleimishwe huwa hawaelimiki.
 
Back
Top Bottom