Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wa jinsia ya kike walioshupalia suala hilo si umeona wanatoka pande gani haswa ya muungano? Si umeona wengi ni kutoka bara ambao wengi wao wanatabia za kiume. Wanawake wa Zanzibari wametulia na wana maadili haswa ya jinsia ya kike inavyopaswa kuwa, si wabishi wala si waropokaji. Hivyo hii ni strategy ya kusaidia kufikia muafaka wa pande za muungano. Ni faraja angalao hili limekubalika katika ngazi za kamati.
Hayo mambo wanayoyadai hao wanawake hayapo,hata vitabu vya dini vinasema mwanaume ni kichwa cha familia.
Wanachokifanya sasa ni kwenda kinyume na Mungu baaasi.
Wajumbe wanawake Bunge la katiba hivi sasa wamekuwa wakidai kunyanyaswa kijinsia kwa Kugombea moja ya nafasi za juu kabisa (Mwenyekiti wa bunge), Lakini tukumbuke wakati Bunge hili hili la katiba likianza alijitokeza Mwanamama Mwenzao tena Pekee (Mama Lwebangira) na akagombea nafasi ya mwenyekiti wa Muda, Huyu mama kilichomkuta ni zomea zomea na miguno kutoka hata kwa baadhi ya wanawake wenzake, Pia Hakupata kura zaidi ya 80, ingawa ndani ya bunge kuna Akina mama zaidi 200, kumbuka mama Lwebangira ni Mwanasheria/ msomi mzuri na ameendesha mikutano mingi ya ndani ya Nchi na kimataifa na Anajiamini, HUO UMOJA BANDIA WA KUDAI HAKI ZENU UNATOKA WAPI ?
Wanawake, wataka kama mwenyekiti akiwa mwanaume basi makamu awe mwanamke,,,,,bunge limewakas moto hapa,,,,