The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hajarudi tu mleta mada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
braza ww c ndo uliibiwa na malaya wa 5N??.. maana naona hamna umbali sana na mitaa hyohyo unayojinyofolea.Mkuu unaenda mkabala na mliman city panakuwa na karaoke hapa ni "MLIMAN PARK" bila ubishi. Siku ingine jiweke vzr upate watoto kirahisi. Mliman madem wengi mitaa ile me nawala sana aisee. Natupia pamba frsh mfokon ka iphone x kangu kanaoneka nikisimamisha mtt lazma atulie
Muhaya huyu
Vema uwe una hariri uchoandika kabla ya kuposti!Kifupi mimi naishi countryside na huko Dar nilisoma tu mavyuo na hivyo mimi siku hizi huja kwa kupumzika na matembezi mafupi kwenda znz nk au kufanya deal moja mbili tatu kisha nasepa huku mikoani ambao ndio watu tunaoishi maisha tunaishi! no bughudha no stress na pilikapilika za maisha ya huo Dar.
Sasa bana mimi niko vizuri sana ...kifupi hela ninayo kifupi sijapungukiwa iwe mi ndinga au mijengo. Ila nikiwa Dar kwa kuwa napenda kuwa huru na kujiachia maana mimi huwa najiweka simple saana vyeo na cadre niliyonayo ukiniona huwezi dhani. Kifupi napenda kuishi maisha to the fullest.
Kuliko nipande uber au tax nikiwa Dar mm huwa napenda nipande daladala au mwendokasi kutegemea na uharaka wangu wa siku hiyo lakini haimaanishi sipand hizo vingine. Sasa kupanda Daladala huko ni kwa ajili nipate kujichanganya nione maisha ya watu na masumbuko ya binadamu jijini Dar. Kifupi nimeona watu Dar kila mtu stress kwa kumsoma tu uso na gestures zake. Maisha yanapiga watu saana Dar.
Sasa nirudi katika mada..mara nyingi nimekuwa nikiona mademu wa Dar katika Daladala au nikiwa posta au mwenge nk kule kwenye malls mbalimbali yaani mademu utamuona classic kama malaika...yaani mtoto mzuri alivojiweka utadhani anakunya katika choo cha dhahabu ila sasa jitahidi kuwajua utasikitika.
Nilishawahi fanya uchunguzi kama huu ila nikasema nirudie tena..kuna siku nilikuwa nimepanda Daladala kifupi nikamkuta du moja kwenye seat jiran kwanza nikamsalimu hakuitika alikua busy na simu mi earphones masikoni nini...yaani ukimuona Utadhani beyonce..ooh nikasema no sweat haina tabu nikaketi. Tukawa kimya mimi natafakari uturi ananukia yaani utadhani mtoto ametoka mbinguni. Basi konda akawa anachukua nauli mimi nikampa elfu kumi note maana kiukweli huwa natembea na hela kama hizo tu..bas konda akasema wawili!? duh nikawaza nikasema okay wawili kata nikimaanisha na yule duh. Ifahamike yule Duh alikua busy na m simu wake ile wakati narudishiwa change ndo akawa kama ameona ni suala la nauli akawa kama anatoa yake nikamwambia usijali nimeshakulipia. Akasema ooh realy?? why?? no way huna haja kunilipia..mm nikamwambia no problem sisi binadamu tu niliona vema kufanya hivyo kwa wakati huo sahihi no strings attached na ajisikie amani. Akawa kama ananiangaliaa kunipimiaa kisha akasema ok thanks. Basi ukimya ukatanda tena ikumbukwe mimi nilikua nataka kwenda maeneo ya mlimani city ila jamaa angu fulani akaniambia mlimani city hakuna issue nimfate sijui wapi pale chini mkabala na mlimani city kunakuaga na karaoke nini panahappen sana. Basi nikawa nashukia pale kituo karibu na kwa kakobe. Mara na yule du akawa anashukia hapo..nikasema kimoyo moyo hebu ngoja nirushe nyavu hata kama demu anaonekana mtoto wa kigogo. Basi nikashuka na yeye akashuka pale basi mimi sikuvunga nikavunja ukimya oh ni kumbe tunashuka kituo kimoja naona ni bahati sana kwangu!? akanigeuka akawa kama like what!? nani huyu ananiongelesha! ikawa kama alivogeuka kuniona mimi kama vile akawa anataka kusita na kuignore ila kifupi mimi kama nina charisma hata kama najiweka simple sana ila maduu wengi wakiniangalia napata sana kibali kwao yaani sikataliki. Yaani niko charismatic nilishaambiwa na wengi hata huyu hapo baadae. Basi akaona no sweat anijibu tu kwani shi ngapi!? basi akasema yah nashuka hapa...huku akiwa busy kama kuondoka. Nikamwambia hey hunijui sikujui ila ningependa nikufahamu! akanijibu what!? what are you talking about! ikumbukwe mimi nilikua naongea kiswahili ila duh viingereza vingi bila yeye kujua hiyo lugha mimi ndo ya kwanza kuongea mpaka nilipofikisha miaka sita kurudi Tz na wazee. Mimi sikutaka ligi nikabaki na kiswahili...nikarudi ndio nahitaji kukufahamu najua uko busy na yako na mimi pia niko busy ila nahitaji nikufahamu ( huku nampa simu yangu aweke namba yake nimemuwekea kabisa moja kwa moja kwenye kusave contact...Dem akawa kama ananitazama kwa dharau sio dharau yaani kama vile hanielewei na hanimalizi hivi. Ila kwa kuwa pale kituoni kuwa watu wengi na mimi nimejitoa ufahamu basi akawa kama automatic hivi amepokea simu yangu na kuweka namba yake...nikasema kimoyomoyo yeess..aliponikabidhi simu nikafanya kama kuhakiki namba kwa kumpigia kisha nikamwambia ya kwangu hiyo save na kumtajia jina.
ITAENDELEA.........
mdau mimi ni mtu mwingine kabisa aiseeNew kidukulilo in the house
tatizo shughuli za kazi mchana mama ila nitajitahidi leo jion nipate mda nimalizie niandikeUngetusimulia mchana au jioni hadithi "ako,sasahiv tuna "ushingishi" wenginee😴😴
awali ni awali ndugu miaka ya 2010 nikiwa huko chuo pale mlimani city ndo ilikua kiwanja hatari...Ila sijui tatizo ni nini haswa ila kila mtu wa mkoani akina Dsm lazima atazungumzia Mlimani City..yani jamaa wa mikoani na Mlimani City ndo wanaonaga kama vile wameshakua wajanja hahahaha
hahaha asante sio hapo mlimani park ni kwa huku chini pembeni kabisa ya barabara ya kwenda mawasiliano ila mkabala na mlimani city baada ya kuvuka barabara sijui hi5 sijui pin5 hata sipakumbuki hapoMkuu unaenda mkabala na mliman city panakuwa na karaoke hapa ni "MLIMAN PARK" bila ubishi. Siku ingine jiweke vzr upate watoto kirahisi. Mliman madem wengi mitaa ile me nawala sana aisee. Natupia pamba frsh mfokon ka iphone x kangu kanaoneka nikisimamisha mtt lazma atulie
mkuu siko hapa kutafuta ajira gazetini...naandika navojisikia chalii angu! uhariri wa nini then!?Vema uwe una hariri uchoandika kabla ya kuposti!
mimi niko kama mimi naongea uhalisia siko kushindana na kiduku mimi naongelea my life my rules and my experience! siko kwenye ligi arif!Unaelekea elekea kwa Kiduku Lilo ila bado kidogo.
Yule jamaa he goes all the way. Wewe unafika mahala unagutuka unaarudi kwemye uhalisia.
karibu moshi na arusha....au uje marangu mtoni kabisa kwa wazeeMuhaya huyu
hahahahaKiduku Lilo njoo mchukue mtoto wako huku.............
hii ni life experience ndugu...kumbe ni hadithi😂
usikose badae kwenye saa moja au mbili hivi saa za afrika mashariki...hahaha kama ni wewe nipe ile code kwa DM nilokugeaIkiendelea mtoa mada unishtue usijekuwa unsniongelea mm [emoji38][emoji38]