Wanawake wa Dar hawapishi, ukisubiri akupishe anakupiga kikumbo!

Wanawake wa Dar hawapishi, ukisubiri akupishe anakupiga kikumbo!

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,659
Nina miaka 27 toka nihamie Dar kutoka mkoani. Wanawake wa mikoani hususani kanda ya ziwa wana adabu sana. Ukikutana naye njiani lazima akupishe. Tofauti na wanawake wa Dar hawakupishi. Ukitembea njiani kwa matumaini kwamha huyo mwanamke wa Dar unayekutana naye na yuko kwente saiti yako akupishe basi tegemea kupigwa kikumbo. Hakupishi! Na akikupiga kikumbo hajali......! Yeye anarndelea na safari zake tu.

Sasa tabu yake ni kwamba akiwa kwenye saiti yake anataka umpishe na akiwa kwenye saiti yako anataka umpishe wewe.
Yaani wajeuri na wanadharau sana.

Fanya utafiti kuanzia leo utakubali ninayokwambia. Kwa kumalizia wanawake wa Dar hata salamu ni mpaka umuanze wewe mwanaume. Ukisubiri akuanze kukusalimia atakupita kama hakujui.
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa nimedetect huyu anayekuja mbele yangu lengo lake ni kupigana kikumbo hua naonyesha kama vile na mimi nataka tupigane kikumbo halafu namkwepa. Hua nacheka wanavyopepesuka.
 
Kwahiyo hata mkeo akigoma kutoa penzi huwezi kumpiga mtama?
 
Kila siku usiku wanagonganisha vifua vyao vya nyonyo na midume...kwa hivyo wao hawaoni hatari kabisa so sad
 
Mbona husemi ninyi tunavyogombania siti kwenye daladala, mwanaume wa dar hakubali eti aachie siti dada/ mama yake akae ila wa mkoani hawanaga ajizi anaweza kukuachia siti ye asimame toka Iringa hadi makambako [emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kitu ndicho nilikuwa nakikataa na nitaendelea kukikataa, mwanamke hata kama ana mimba Siwezi kumpisha akae Mimba apewe na mwingine nipate shida mimi huo utumbo siufanyi.
.
Napisha wagonjwa tu bila kujali jinsia zao, mimba na uzee ni ndoto.
 
Mbona husemi ninyi tunavyogombania siti kwenye daladala, mwanaume wa dar hakubali eti aachie siti dada/ mama yake akae ila wa mkoani hawanaga ajizi anaweza kukuachia siti ye asimame toka Iringa hadi makambako [emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😂😂dah kipande hicho nimekikumbuka..naweza taja vituo vyote vya kutoka iringa had makambako😂😂😂
 
Back
Top Bottom