Wanawake wa hivi Wana shida gani?

Wanawake wa hivi Wana shida gani?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali.

Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k.

Na wengine wanakuwa maarufu Sana.

Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye restaurant inayovuma Kwa upishi labda wa pilau au Biriani au chochote kile...inakuwa kama mtu "kachokozwa"...
Ni mwendo wa kuponda na kukosoa mapishi mwanzo mwisho.

Utasikia viungo vimezidi Sana au pilau hili bado Sana kuna kitu hakija kaa sawa..mara hivi mara vile.......yaani unaweza kukuta ulipompeleka mtu anasifika mji mzima lakini yeye kazi "kukosoa Tu"....na sometimes mapishi yake unayajua hata robo haingii.

Huwa inanishangaza Sana wanawake wa aina hii tatizo lao ni insecurity au wivu?

Hata kama ulipoenda Kula kweli umekuta chakula kinakasoro huwezi Kula ukaenda zako bila kukosoa ...?..au kukosoa ndo kunafanya wewe uonekane unajua sana?

Kinacho nishangaza wako Wengi wenye tabia hii.

Mnaenda sehemu badala ya Ku enjoy Tu chakula au mandhari mtu anakuwa busy Sana kutafuta makosa ama ya chakula au watoa huduma..... wanawake wenye hii tabia wanaboa sana.
 
🤣mchele mmoja mapishi mbalimbali. Wahenga hawakoseagi.

Ndio usiwatoe out kula mpunga, muende kwenye mapisho asiyoyajua wala kuyazoea apambane kuelewa Menu kwanza kama "chicken schnitzel", "loaded beef ribs..sijui etc..
 
Brother mungu hua anakupa wa kufanana nae! Ukitaka jitafanyie self evaluation utagundua mungu anakupa wa kufanana nae! Pitia threads zako na comments hujawahi ona zuri la aina flan ya Marais bongo
 
Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali.

Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k.

Na wengine wanakuwa maarufu Sana.

Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye restaurant inayovuma Kwa upishi labda wa pilau au Biriani au chochote kile...inakuwa kama mtu "kachokozwa"...
Ni mwendo wa kuponda na kukosoa mapishi mwanzo mwisho.

Utasikia viungo vimezidi Sana au pilau hili bado Sana kuna kitu hakija kaa sawa..mara hivi mara vile.......yaani unaweza kukuta ulipompeleka mtu anasifika mji mzima lakini yeye kazi "kukosoa Tu"....na sometimes mapishi yake unayajua hata robo haingii.

Huwa inanishangaza Sana wanawake wa aina hii tatizo lao ni insecurity au wivu?

Hata kama ulipoenda Kula kweli umekuta chakula kinakasoro huwezi Kula ukaenda zako bila kukosoa ...?..au kukosoa ndo kunafanya wewe uonekane unajua sana?

Kinacho nishangaza wako Wengi wenye tabia hii.

Mnaenda sehemu badala ya Ku enjoy Tu chakula au mandhari mtu anakuwa busy Sana kutafuta makosa ama ya chakula au watoa huduma..... wanawake wenye hii tabia wanaboa sana.
Umeuliza na umejijibu vizuri.
Wivu...wanawake hawapendani
Kutokujiamini
 
Usiombe ukutane na mshangazi ambao upo toxic! Nilikutana na mmama wa dizaini hiyo yani nilijuta. Nimemtoa out, hata msosi haujafika anaanza kuponda wahudumu na kuwafokea.

Ilikua ni restaurant flani classic huko kanda ya ziwa, ukiagiza menu wanaenda kukuandalia kabisa unavyotaka wewe kwahyo inabidi usubiri kama dk15-20 ili uletewe msosi wako.

Basi nikaagiza maji. Yakaletwa maji ya Dasani! Akaanza kumfokea muhudumu, "hoteli gani hii hamna maji ya kilimanjaro!!!". Yule dada akamjibu kistaarabu tu "madam tunayo nakuletea" akaenda kumchukulia.

Moyoni nikawa najisemea tu, leo nimeyakanyaga!!! Sipendi mtu anaemfokea muhudumu. Order ikakamilika. Nikaletewa wali na samaki sato mkubwa sana na juice ya nanasi. Yeye aliagiza chips akaangiwe na mayai matatu pembeni, aletewe na sato mkubwa! Mimi na njaa zangu nikawa nafakamia tu msosi wangu huku nikienjoy taratibu.

Mwenzangu nikaanza kumuona anazipekua pekua zile chips kama takataka yani, huku anaponda sijui zimekauka sana. Wakati mm naona ziko poa tu. Akawa anamdonoa donoa yule samaki na kulalamika hana ladha. Dah! Akaita muhudumu akaanza kumfokea wamepika vibaya! Yani aibu niliona mimi. Tatizo nilikua na upwiru hatari.

To cut the story short. Baada ya tukio lile yule madam alikula block!
 
Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali.

Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k.

Na wengine wanakuwa maarufu Sana.

Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye restaurant inayovuma Kwa upishi labda wa pilau au Biriani au chochote kile...inakuwa kama mtu "kachokozwa"...
Ni mwendo wa kuponda na kukosoa mapishi mwanzo mwisho.

Utasikia viungo vimezidi Sana au pilau hili bado Sana kuna kitu hakija kaa sawa..mara hivi mara vile.......yaani unaweza kukuta ulipompeleka mtu anasifika mji mzima lakini yeye kazi "kukosoa Tu"....na sometimes mapishi yake unayajua hata robo haingii.

Huwa inanishangaza Sana wanawake wa aina hii tatizo lao ni insecurity au wivu?

Hata kama ulipoenda Kula kweli umekuta chakula kinakasoro huwezi Kula ukaenda zako bila kukosoa ...?..au kukosoa ndo kunafanya wewe uonekane unajua sana?

Kinacho nishangaza wako Wengi wenye tabia hii.

Mnaenda sehemu badala ya Ku enjoy Tu chakula au mandhari mtu anakuwa busy Sana kutafuta makosa ama ya chakula au watoa huduma..... wanawake wenye hii tabia wanaboa sana.
Hao ni wale wachawi waliokosa vifaa vya kazi tu, kuna wengine huwa ni mawakala wa shetani hapa duniani.
 
Back
Top Bottom