Wanawake wa hivi Wana shida gani?

Wanawake wa hivi Wana shida gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama ulikuwepo. Alikua na msambwanda hatari. Ila hakua na maajabu na ukichanganya kile kisirani chake pale hotelini ndio akanikata stim mazima!!!
😅😅😅Nawajua vizuri nina uzoefu nao for 20yrs.

Yaani wao vile wanavyosifiwa mk...du mkubwa basi wanajiona they are best.

Wakati woote nasema almost woote ni single mothers.

Hawajui kuwa tako ni kwa kuliangalia tu lkn ukishalivua halina maajabu kbs
 
Muwe mnafanya kama mimi qudadadadeq.....🤣
 
Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali.

Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k.

Na wengine wanakuwa maarufu Sana.

Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye restaurant inayovuma Kwa upishi labda wa pilau au Biriani au chochote kile...inakuwa kama mtu "kachokozwa"...
Ni mwendo wa kuponda na kukosoa mapishi mwanzo mwisho.

Utasikia viungo vimezidi Sana au pilau hili bado Sana kuna kitu hakija kaa sawa..mara hivi mara vile.......yaani unaweza kukuta ulipompeleka mtu anasifika mji mzima lakini yeye kazi "kukosoa Tu"....na sometimes mapishi yake unayajua hata robo haingii.

Huwa inanishangaza Sana wanawake wa aina hii tatizo lao ni insecurity au wivu?

Hata kama ulipoenda Kula kweli umekuta chakula kinakasoro huwezi Kula ukaenda zako bila kukosoa ...?..au kukosoa ndo kunafanya wewe uonekane unajua sana?

Kinacho nishangaza wako Wengi wenye tabia hii.

Mnaenda sehemu badala ya Ku enjoy Tu chakula au mandhari mtu anakuwa busy Sana kutafuta makosa ama ya chakula au watoa huduma..... wanawake wenye hii tabia wanaboa sana.
Kwanini unatoka na mama ntilie? Unataka ukiishiwa uwe unakula bure?
 
Alhamdulillah basi Mie niko tofauti, Jana Baba K alinipeleka sehemu akaniagizia chapati, nikala nikazisifia ni nzuri....niliuona mshangao usoni mwake hakutegemea, maana yeye mwenyewe huwa ananisifia napika chapati nzuri kuliko yeyote🤣
 
Usiombe ukutane na mshangazi ambao upo toxic! Nilikutana na mmama wa dizaini hiyo yani nilijuta. Nimemtoa out, hata msosi haujafika anaanza kuponda wahudumu na kuwafokea.

Ilikua ni restaurant flani classic huko kanda ya ziwa, ukiagiza menu wanaenda kukuandalia kabisa unavyotaka wewe kwahyo inabidi usubiri kama dk15-20 ili uletewe msosi wako.

Basi nikaagiza maji. Yakaletwa maji ya Dasani! Akaanza kumfokea muhudumu, "hoteli gani hii hamna maji ya kilimanjaro!!!". Yule dada akamjibu kistaarabu tu "madam tunayo nakuletea" akaenda kumchukulia.

Moyoni nikawa najisemea tu, leo nimeyakanyaga!!! Sipendi mtu anaemfokea muhudumu. Order ikakamilika. Nikaletewa wali na samaki sato mkubwa sana na juice ya nanasi. Yeye aliagiza chips akaangiwe na mayai matatu pembeni, aletewe na sato mkubwa! Mimi na njaa zangu nikawa nafakamia tu msosi wangu huku nikienjoy taratibu.

Mwenzangu nikaanza kumuona anazipekua pekua zile chips kama takataka yani, huku anaponda sijui zimekauka sana. Wakati mm naona ziko poa tu. Akawa anamdonoa donoa yule samaki na kulalamika hana ladha. Dah! Akaita muhudumu akaanza kumfokea wamepika vibaya! Yani aibu niliona mimi. Tatizo nilikua na upwiru hatari.

To cut the story short. Baada ya tukio lile yule madam alikula block!
Wapo wengi kweli WA hivi .
Anadonoa donoa chakula na ulalamishi kibao ....utasema yeye anajua kupika Sana kumbe magumashi
 
Alhamdulillah basi Mie niko tofauti, Jana Baba K alinipeleka sehemu akaniagizia chapati, nikala nikazisifia ni nzuri....niliuona mshangao usoni mwake hakutegemea, maana yeye mwenyewe huwa ananisifia napika chapati nzuri kuliko yeyote🤣
Labda aliona umesifia Kwa kukulazimisha🤣
 
Siku hizi kuna wajasiriamali Wengi Sana WA vyakula sehemu mbalimbali.

Ukiingia online karibu kila kitongoji kina wapishi mbalimbali wanapika kuanzia pilau,Biriani n.k.

Na wengine wanakuwa maarufu Sana.

Sasa basi kuna aina ya wanawake usiombe umpeleke sehemu muende Kula chakula Kwenye restaurant inayovuma Kwa upishi labda wa pilau au Biriani au chochote kile...inakuwa kama mtu "kachokozwa"...
Ni mwendo wa kuponda na kukosoa mapishi mwanzo mwisho.

Utasikia viungo vimezidi Sana au pilau hili bado Sana kuna kitu hakija kaa sawa..mara hivi mara vile.......yaani unaweza kukuta ulipompeleka mtu anasifika mji mzima lakini yeye kazi "kukosoa Tu"....na sometimes mapishi yake unayajua hata robo haingii.

Huwa inanishangaza Sana wanawake wa aina hii tatizo lao ni insecurity au wivu?

Hata kama ulipoenda Kula kweli umekuta chakula kinakasoro huwezi Kula ukaenda zako bila kukosoa ...?..au kukosoa ndo kunafanya wewe uonekane unajua sana?

Kinacho nishangaza wako Wengi wenye tabia hii.

Mnaenda sehemu badala ya Ku enjoy Tu chakula au mandhari mtu anakuwa busy Sana kutafuta makosa ama ya chakula au watoa huduma..... wanawake wenye hii tabia wanaboa sana.
Na huyo mkosoaji ukimwambia akuandalie chakula anatoa kituko. Mbombo ngafu
 
Unakuta jpili kama leo badala ukae na mumeo.umuoshe miguu, umfanyie massage.mgegedane.upange room vizuri
Mwanamke anaanza.kupika pilau toka saa nne hadi saa tisa.hapo kuna recipe mpya za pilau umeona you tube au instagram.akitoka hapo hooi.
Pilao lenyewe jamaa anakula vijiko viwili.anawaza akale mbuzi choma huko bar.
Angalia mumeo anapenda chakula gani .jpili sio siku ya pilao za majaribio
 
Wanawake wengi wapo hvyo

Kuna mmoja aliwah niambia huwa hafurahii kula wali uliopikwa na mwingine

Nimeshakutana nao wengi sana wa namna hyo
 
Usiombe ukutane na mshangazi ambao upo toxic! Nilikutana na mmama wa dizaini hiyo yani nilijuta. Nimemtoa out, hata msosi haujafika anaanza kuponda wahudumu na kuwafokea.

Ilikua ni restaurant flani classic huko kanda ya ziwa, ukiagiza menu wanaenda kukuandalia kabisa unavyotaka wewe kwahyo inabidi usubiri kama dk15-20 ili uletewe msosi wako.

Basi nikaagiza maji. Yakaletwa maji ya Dasani! Akaanza kumfokea muhudumu, "hoteli gani hii hamna maji ya kilimanjaro!!!". Yule dada akamjibu kistaarabu tu "madam tunayo nakuletea" akaenda kumchukulia.

Moyoni nikawa najisemea tu, leo nimeyakanyaga!!! Sipendi mtu anaemfokea muhudumu. Order ikakamilika. Nikaletewa wali na samaki sato mkubwa sana na juice ya nanasi. Yeye aliagiza chips akaangiwe na mayai matatu pembeni, aletewe na sato mkubwa! Mimi na njaa zangu nikawa nafakamia tu msosi wangu huku nikienjoy taratibu.

Mwenzangu nikaanza kumuona anazipekua pekua zile chips kama takataka yani, huku anaponda sijui zimekauka sana. Wakati mm naona ziko poa tu. Akawa anamdonoa donoa yule samaki na kulalamika hana ladha. Dah! Akaita muhudumu akaanza kumfokea wamepika vibaya! Yani aibu niliona mimi. Tatizo nilikua na upwiru hatari.

To cut the story short. Baada ya tukio lile yule madam alikula block!
Mke wang huwa ana tabia hii kabisa ingawaje huwa hafoki foki sana ila huwa anachambua chambua sana chakula mara aseme ni kidogo hela ni kubwa,yaan inabid mim naanza tena kuwatetea hao wenye chakula

Sasa mtu anataka chakula kingi sijui cha nini wakati siku nzima kashinda anachezea simu
 
Sasa si ndio wanawake walioko kwenye circle yako mkuu wavumilie.Sie wengine wanawake zetu ni classic hawana ufala huo
 
Back
Top Bottom