Wanawake wa hivi Wana shida gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama ulikuwepo. Alikua na msambwanda hatari. Ila hakua na maajabu na ukichanganya kile kisirani chake pale hotelini ndio akanikata stim mazima!!!
😅😅😅Nawajua vizuri nina uzoefu nao for 20yrs.

Yaani wao vile wanavyosifiwa mk...du mkubwa basi wanajiona they are best.

Wakati woote nasema almost woote ni single mothers.

Hawajui kuwa tako ni kwa kuliangalia tu lkn ukishalivua halina maajabu kbs
 
Muwe mnafanya kama mimi qudadadadeq.....🤣
 
Kwanini unatoka na mama ntilie? Unataka ukiishiwa uwe unakula bure?
 
Alhamdulillah basi Mie niko tofauti, Jana Baba K alinipeleka sehemu akaniagizia chapati, nikala nikazisifia ni nzuri....niliuona mshangao usoni mwake hakutegemea, maana yeye mwenyewe huwa ananisifia napika chapati nzuri kuliko yeyote🤣
 
Wapo wengi kweli WA hivi .
Anadonoa donoa chakula na ulalamishi kibao ....utasema yeye anajua kupika Sana kumbe magumashi
 
Alhamdulillah basi Mie niko tofauti, Jana Baba K alinipeleka sehemu akaniagizia chapati, nikala nikazisifia ni nzuri....niliuona mshangao usoni mwake hakutegemea, maana yeye mwenyewe huwa ananisifia napika chapati nzuri kuliko yeyote🤣
Labda aliona umesifia Kwa kukulazimisha🤣
 
Na huyo mkosoaji ukimwambia akuandalie chakula anatoa kituko. Mbombo ngafu
 
Unakuta jpili kama leo badala ukae na mumeo.umuoshe miguu, umfanyie massage.mgegedane.upange room vizuri
Mwanamke anaanza.kupika pilau toka saa nne hadi saa tisa.hapo kuna recipe mpya za pilau umeona you tube au instagram.akitoka hapo hooi.
Pilao lenyewe jamaa anakula vijiko viwili.anawaza akale mbuzi choma huko bar.
Angalia mumeo anapenda chakula gani .jpili sio siku ya pilao za majaribio
 
Wanawake wengi wapo hvyo

Kuna mmoja aliwah niambia huwa hafurahii kula wali uliopikwa na mwingine

Nimeshakutana nao wengi sana wa namna hyo
 
Mke wang huwa ana tabia hii kabisa ingawaje huwa hafoki foki sana ila huwa anachambua chambua sana chakula mara aseme ni kidogo hela ni kubwa,yaan inabid mim naanza tena kuwatetea hao wenye chakula

Sasa mtu anataka chakula kingi sijui cha nini wakati siku nzima kashinda anachezea simu
 
Sasa si ndio wanawake walioko kwenye circle yako mkuu wavumilie.Sie wengine wanawake zetu ni classic hawana ufala huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…