Wanawake wa hivi Wana shida gani?

If you have nothing better to show off for yourself, best way to make you feel better is belittling others.

Criticism si kitu cha lazima kila sehemu especially sehemu ambayo opinion zako hazitatumika kujenga…. Kuna watu wako opinionated sana, wanadhani maoni yao ni ya lazima kila sehemu, ni ugonjwa wa kufeel entitled.

Eat, appreciate and go home, or eat, don’t appreciate and don’t come back again, simple.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama ulikuwepo. Alikua na msambwanda hatari. Ila hakua na maajabu na ukichanganya kile kisirani chake pale hotelini ndio akanikata stim mazima!!!
Lkn si ulikula mzigo? Af ungelichana live kuwa liache mazereu na ujuaji
 
Daaah, mtihani huu...😊😊

Well, nimeyapokea maoni yako mdau ntayafanyia kazi.

Japo wewe ndo mtu wa kwanza kuonesha umeona kuna tofauti kwenye avatar yangu 😍.
Hata me nimeona kasie 😎
 
Nakuunga mkono boss kama mimi hii ni kweli nilienda sehemu moja na mtu tumuite alikuwa mpenzi wangu na ni mpenzi wangu kweli 😀 xa ile tunafika tukaagiza msosi walivyoleta pale mezani ngoja sasa aanze kuongea aliongea kwa kuponda kile chakula had sio vizuri wakati me nikikumbuka anayoyapika nabaki nacheka moyoni kwa anachokiponda ye anapika nyanya kama amezipanda kwenye mtongono [emoji4]
 
Mkuu umempeleka mtu mwenye shibeee. Na wakati mwingine nunua chakula kisicho common sana
 
Poleee kwa yaliyokukuta[emoji28]
 
Anakosoa ili umuone yeye ni bora zaidi.Huyo ni mjanja mana anajua akisifia utaziea kwenda huko na utamshusha CV zake
 
Tàtizo pakiwa na pisi kali kumzidi ñdo utachoka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…