Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Ally Kiba, kumbe ni rumours.....Jf ndo nachokaga hapa tu.

Na nyie kwanini mfunge PM zenu?
Mtakosa madili ya kutangaza vito vyenu nje ya nchi.
Au ndo Tigo pesa na M-Pesa zenu ziko wazi?
hahahhh
 
Ally Kiba, kumbe ni rumours.....Jf ndo nachokaga hapa tu.

Na nyie kwanini mfunge PM zenu?
Mtakosa madili ya kutangaza vito vyenu nje ya nchi.
Au ndo Tigo pesa na M-Pesa zenu ziko wazi?
Wanakosa Bahati mnoo....mtu unaenda pm ili umuombe namba umtumie mpesa bila kuhitaji chochote

Unakuta kablok.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…