Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?


Kuna watu wajinga humu sana tu!!

Wana visirani na chuki za ajabu ajabu!!

Mpk tunashindwa kushangaa kwa kweli!

Stress za maisha yake na familia yake anakuja kumalizia huku jf!!

Ila mie wananikoshoga sana!
 
Si bora nimeliwa na kupewa dollar 200 na manukato kuliko kukopwa watajua wenywe
 
sijui ni akili za kitoto au vp inakera sana
 
sijui ni akili za kitoto au vp inakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…