Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

sasa mtu anakuja Pm anaanza Hi,
ya kazi gani?
Go straight to the point.
 
Straight point huko pm ni nini jamani Hornet? Nifungue macho, isije kuwa nikija pm naboa watu na salami zangu asee
hata salaam ni straight point,
hi, habari yako, nimependa kukusalimia...
Siyo unakuja na hi.
 
Back
Top Bottom