Mpige block, watu kama sisi ndio wakuja hukoKila siku iendayo kwa Mungu maongezi ni hayo hayo, mtu Kama huyo ana stahili block
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepaliwa na maji kwa kucheka[emoji23][emoji23]...kwambaaNimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.
Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!
Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.
Nyie ndio kimbilio letu hapa JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tunakosea wapi bwana Hazard?Badilika basi,unajua huwa nakumiss sana kule PM [emoji23][emoji23]
Bila shaka hao ni watoto, katika kumbukumbu zangu sikumbuki kama hilo swali la umevaa nini niliwahi kuuliza. Hizi mambo za umekula nini sina muda nazo ukisema siko romantic utajua mwenyeweWanawaza ngono muda wote halafu tatizo hawajui maneno matamu ya kutumia yaani badala akunyegeshe unapata hasira.
Hlf mwingine ndo siku ya kwanza anaanza tu hivyo utadhani mmekubaliana muwe wapenzi. Wanaboaaaaaa[emoji34][emoji34][emoji34]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kumbe kuna watu wanafaidi sanaHa haaa yaani nakwambia. Kuna watu wanaboa sana ila wapo wengine jamani yaani unaona raha story zao hata akikusextisha inanoga..unatamani uingie jf kila saa uchat nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la umevaa nini hujawahi kuniuliza bhana
Niulize leo usiku basi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha haaa yaani nakwambia. Kuna watu wanaboa sana ila wapo wengine jamani yaani unaona raha story zao hata akikusextisha inanoga..unatamani uingie jf kila saa uchat nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajuaje wewe mrembo wakati hakujui na anakuomba picha?Mara ooh wewe mrembo sana naomba picha sijui nani kamwambia kuwa nagawa picha
na ukiona mwanamke mrembo jua huyo tayari ana mtu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Raia wa kawaida tu kama wewe.!
Unaniitaje mtoto mzuri whilst hufahamu hata kama mimi ni mwamba.!
Jamani. Umenikazia leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu alitung'ang'ania eti hizi I'd mbili zinamilikiwa na mtu mmojaHivii wewe na Joanah majibu yenu huwa mnayahifadhi wapi??
Uromantic huwa unaflow tu wenyewe, yaani kuulizana umevaa Nini au chupi ya rangi gani from nowhere inakata stimuBila shaka hao ni watoto, katika kumbukumbu zangu sikumbuki kama hilo swali la umevaa nini niliwahi kuuliza. Hizi mambo za umekula nini sina muda nazo ukisema siko romantic utajua mwenyewe
Poleni na corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah, wachache[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kumbe kuna watu wanafaidi sana
Sent using Jamii Forums mobile app