Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
[emoji1][emoji1]Yaani straight forward
"Salama Paula? Tafadhali naomba unikopeshe dawa ya korona ntakurudishia kesho. Naweka dhamana Covid 19 kama dhamana "
Tuonane PM mpenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1]Yaani straight forward
"Salama Paula? Tafadhali naomba unikopeshe dawa ya korona ntakurudishia kesho. Naweka dhamana Covid 19 kama dhamana "
Tuonane PM mpenzi
Hiyo sikupendiii unajua siyo ya kweli, ni ya kimpira tu.
Ila siku ile ilikuwa noma sana, halafu nilikuwa chimbo ambalo mimi ndo kiongozi wa washabiki wa Liver, nimeenda na matokeo mfukoni.
Kila siku iendayo kwa Mungu maongezi ni hayo hayo, mtu Kama huyo ana stahili block
Kuna mtu aliwahi nijia PM kwa swagg moja ya kimafia,
Nika plan nimvuruge mpaka anyooke yaani aliniboa mpaka nikajiuliza kanionaje huyu!??
Guess how that turns out to be!!? Ni mwaka umetimu mpaka sasa kila tukikumbuka huwa tunacheka sana!!
Naijua hiyo feeling ya kuwa na matokeo mfukoni halafu ikatokea tofauti,mie nilikuwa naishia kulia sana tu
Kuna maswali mengine yana-reflect utoto flani hivi.Hakuna maswali nachukia kama 'umeshapanda kitandani'? 'Umevaa nini'? Hata shemeji yako maswali haya huwa simjibu (hilo la umevaa nini)sembuse we stranger wa Jf [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa yaani nakwambia. Kuna watu wanaboa sana ila wapo wengine jamani yaani unaona raha story zao hata akikusextisha inanoga..unatamani uingie jf kila saa uchat nae
Mimi silii, nikinywa maji lita moja na nusu hasira zinaisha.
Nabaki nawaachia wenye timu wahangaike nayo.
Badilika basi,unajua huwa nakumiss sana kule PM [emoji23][emoji23]
Wanawaza ngono muda wote halafu tatizo hawajui maneno matamu ya kutumia yaani badala akunyegeshe unapata hasira.Hakuna maswali nachukia kama 'umeshapanda kitandani'? 'Umevaa nini'? Hata shemeji yako maswali haya huwa simjibu (hilo la umevaa nini)sembuse we stranger wa Jf [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haaa yaani nakwambia. Kuna watu wanaboa sana ila wapo wengine jamani yaani unaona raha story zao hata akikusextisha inanoga..unatamani uingie jf kila saa uchat nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana umenielewa vibaya, nimemaanisha sijaona chochote ambacho ni special. Kama kuna kitu ulitaka nikione sijakiona badala yake unaweza kunionyeshaSawa Sawa Amna shida
Mie niko vizuri at crying...maji yanafuata baada ya kilio
Hahaha nitarudi ligi zikirudi..nikija tuongelee mipira tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...hata mimi nakumis sana huko pm lakini nikija sina zaidi ya
Mambo
Umekula?
Umevaa nin?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hatari sanaWanawaza ngono muda wote halafu tatizo hawajui maneno matamu ya kutumia yaani badala akunyegeshe unapata hasira.
Hlf mwingine ndo siku ya kwanza anaanza tu hivyo utadhani mmekubaliana muwe wapenzi. Wanaboaaaaaa[emoji34][emoji34][emoji34]
Sent using Jamii Forums mobile app