Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Nataka nigombane na Joanah ila bado sijapata sababu za kulianzisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Controla sijamaanisha pasiwe na salamu, hapana.
Ila nimemaanisha baada ya salamu unganisha tuu dhumuni lako la kunipm.

Basi nahisi siku niki-kupm hautanijibu maana nitaenda moja kwa moja kwenye mada baada ya kutanguliza salam.
 

khaaa
 
Uromantic huwa unaflow tu wenyewe, yaani kuulizana umevaa Nini au chupi ya rangi gani from nowhere inakata stimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ujasili wa kuuliza hayo maswali sijui wanaupata wapi ndo tunarudi kulekule kwenye maturity. Hamja fahamiana vizuri mnaanza kuulizana hizo mambo.

Kwani Demi hapo umekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kwa huu uzi kumbe kila kitu kinataka shule, muendelee hivi hivi kutupa shule, ipo siku tutabadilika.

Ahsante.
 
Naunga mkono hili.
Kwa asilimia zote 100. Hii yawezekana ndio sababu.
 
Hahahahaaa!!! Mdogo wangu hapo kwenye red umefanya nimecheka sana hapa lol.

Hakika usemalo na siku zote sisi ni wanadamu na sio malaika.
Ombi moja, nigaie unyenyekvu please.!!
Yabidi nikupunguzie mdogo wangu. Uje nikugee kwa kweli. 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…