Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Mi nadhani hofu na mashaka yako ina anza kwa kujiuliza inakuwaje mtu afikirie kujiita kwa id hiyo? Tokea hapo kichwa kinakupa majibu tofauti, kibaya zaidi akute uko mood less inakua hatari na nusu asee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo
Basi nazama kwenye nyuzi zake na replies zake..nikiona za maana hata 2 katika Mia,narudi kujibu pm yake.
Nikiona hakuna sehemu alipowahi kuwa serious ndio Basi Tena..japo huwa najibu baada ya muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Saint Anne wewe aiseee!!!! hivi huyu anaendika "pow" au "p" anakua na age ngapi kwa mfano. Hivi mtu alieko kwenye mid thirties anaweza andika "pow" badala ya poa?
Yaani hata Mimi huwa nakwazika.
Halafu unamuelekeza mtu kwa upole,hapohapo unamaliza tu kumwambia anakujibu "pow" au "p"
Yaani ukishaniandikia hivyo,hata ungekuwa na mambo gani ya maana ya kuniambia sikujibu Tena.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]najuta kukuchokoza, umemwaga mchele kweupee[emoji23]
Unakumbuka uzi uliotuunganisha?
(Jamaa aliyeokota 400k atm?)
Wewe ulikuja kiuanaume hasa si kitoto. Advertise ukaomba namba ukanirushia muamala mengine yakaendelea. Hakuna nambie nambie...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…