Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Yes, iko hivyo kwenye maisha.

Kwamba bureaucracies zinategemea na umuhimu wa ofisi.

Kama siyo muhimu sana zitakuwa fupi, lakini kama ni muhimu zitakuwa na mlolongo mrefu.

It is as good as asking, "Are you worth the hustle?"
I got it, Nitajuaje kama nina vigezo?
 
I got it, Nitajuaje kama nina vigezo?

Kila mtu anaijua thamani yake, na anajua ni nani au aina gani ya watu wanaomstahili.

Mfano mdogo ni level ya elimu, kuna level fulani ukishafika automatically utataka kukaa meza moja na watu wa level sawa au zaidi yako ili muwe na common discussion (one language).

Au in corporate au business level, ukishafika level fulani ya achievement, automatically utakaa kukutana na watu wa level yako au zaidi.

Hii ni kuepuka yale maswala ya intimidation, kwamba uko na mtu ambaye umemzidi sana kiasi kwamba muda wowote hajiamini kama yuko na wewe, nk.

Sometimes hivyo vyote siyo lazima viwepo, ila as human being unakuwa na standards zako, kwamba nahitaji watu au mtu wa namna hii. Na over a period of time kama uko consistent tayari ile inapita na watu wanakukubali kwa standards hizo.

NOTE: Hapo nimejibu kwa mtazamo wangu.
 
Asante kwa ufafanuzi Don.
Ngoja nifanye tathmin ya thamani yangu.
 
Inategemea mtu ana lengo gani kukutumia ujumbe,kama ni kuhitaji msaada mimi naenda moja kwa moja kwenye lengo.
Lakini kama ninakupenda lazima nianzie mbali.
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umeniunga mkono. Nilishaanza kuji-feel down nikahisi nina tatizo Noel.
 
Huwezi kuibuka tu kuanza ku-chat bila sababu, labda kuwe na topic husika, nayo ikiisha chat inakata.

Chat zenyewe ndo kama zile za Khantwe za, "Mambo", "Niambie", "Upo", "Lete story"...
Halafu ni kweli, ikiisha hiyo topic ndio basi tena. Nahisi hili ni tatizo langu, hata hivo kila mtu ana madhaifu yake.
 
Inategemea mtu ana lengo gani kukutumia ujumbe,kama ni kuhitaji msaada mimi naenda moja kwa moja kwenye lengo.
Lakini kama ninakupenda lazima nianzie mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pendael, utaanza kunitumia "Mambo"? Nijibu baada ya 3hrs "poa vipi". Wakati huo umelala, baada ya masaa matano unijibu "fresh za huko" wakati huo nimelala..inakatisha tamaa.
 
Halafu ni kweli, ikiisha hiyo topic ndio basi tena. Nahisi hili ni tatizo langu, hata hivo kila mtu ana madhaifu yake.

Binafsi naona kama hilo siyo tatizo. Ndivyo inavyotakiwa kuwa. Hakuna kitu cha msingi cha kujadili kila mmoja na issue zake. Kikiwepo tunakumbukana.

There is atleast that one person ambaye unaweza kuchat naye anytime anything.

Kwa hiyo usiite ni udhaifu, hivyo ndivyo ilivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…