Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba????
 
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha
Kuna ID ya mwaka 2015 inaniPM ukiicheck haina msg wala reaction score (mtu wa dizain hii napotezea

Mwingine ye kila siku anaanzisha conversation mpya na kila convo ni salamu kisha anapotea hadi siku nyingine anakuj na convo mpya tena
 
Haha
Kuna ID ya mwaka 2015 inaniPM ukiicheck haina msg wala reaction score (mtu wa dizain hii napotezea

Mwingine ye kila siku anaanzisha conversation mpya na kila convo ni salamu kisha anapotea hadi siku nyingine anakuj na convo mpya tena
Mbona unanisema huku jukwaani???🤣🤣🤣🤣🤣
 
Haha
Kuna ID ya mwaka 2015 inaniPM ukiicheck haina msg wala reaction score (mtu wa dizain hii napotezea

Mwingine ye kila siku anaanzisha conversation mpya na kila convo ni salamu kisha anapotea hadi siku nyingine anakuj na convo mpya tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Hizi za Kwenda moja kwa moja Kwenye mada sio nzuri Sana.
Unakuta mtu anakupm kaandika"kwa Jina la mapenzi karibu moyoni"
Hiyo Ni text yake ya kwanza juu kabisa.

Ni vema mtu anapokupm akaanza na salamu na kukujulia Hali kwanza.
Hii inatoa nafasi ya kujua Khali ya mtu anayewasiliana Naye,mf kujua Kama Ni mzima,mgonjwa, Kuna shida anapitia au Yuko bize .

Kuanza tu kujieleza moja kwa moja kwa mtu,unaweza jieleza kumbe Ana Shida au anaumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia wale expert wana katabia ka kuja na Id mpya mbili mbili..
Binafsi najibu Business oriented Messages.
 
Back
Top Bottom