Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Urafiki ukiwa na story nzuri haukatishwi.
Okey madam, Ngoja foleni zipungue huko, wengine hatuwezi competitions, haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urafiki ukiwa na story nzuri haukatishwi.
Kabisawanakuja kukupa mwongozo
tule, tunywe na tugegede kwa maslahi mapana ya taifa letu
Una sifa za kufanyiwa unachotaka..?Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Kwanini umesema kuna foleni Myahudi? Nauza nini huko hadi pawe na foleni?Okey madam, Ngoja foleni zipungue huko, wengine hatuwezi competitions, haha
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahan sanaNi mtazamo wako, huwa naudhika sana mtu anakutumia message unamjibu kistaarabu then anapotea, inaonyesha wazi anakuwa ameamua kukuchezea tu. Fikiria vyovyote upendavyo ila mimi ndio nimeamua hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhumuni letu wanaume ni kama linajulikana kwa asilimia kubwaHii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
Lol, I DON'T CARE.
Ni mtazamo wako, huwa naudhika sana mtu anakutumia message unamjibu kistaarabu then anapotea, inaonyesha wazi anakuwa ameamua kukuchezea tu. Fikiria vyovyote upendavyo ila mimi ndio nimeamua hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sielewi kama ni barua ya kiofisi au lah. Ila napenda msg ya mtu aliyenyooka kwenye mada moja kwa moja. Hususani kwenye social media.
PoaKwani mtu anavyo kusalimu unategemea maongezi yaendelee?
Pengine kujua uko poa inatosha tu.
Mambo?
Lol, I DON'T CARE.
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawajua tuuUnajuaje kama ni wanawake? Sehem ambayo tunatumia majina fake, picha fake.. Aloo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa sijui kama sina vigezo sina haki ya kuwa na mapendekezo yangu au lah.Hahaha!
Kidogo nicheke kwa sauti maana nilikuwa nasubiri hili jibu.
Tumia tapatalksjajua unatumia JF web au JF app,,kama unatumia app asee mtu anaweza kukuPM leo afu msg ikakufikia kesho kutwa(in case ndo mara ya kwanza kuPM na huyo member). kwa hyo unakuta hata yule alokuPM hajaona msg yako uliyo reply na sio kwamba kakaa kmya No.
sasa tena kuna ishu ya JF app kutokuonesha notification asee inaboooohaaaaa[emoji53][emoji53][emoji54][emoji52][emoji52]
Sent using Jamii Forums mobile app