Ni kweli kabisa mkuu MatumbwelaDuh kama kuna maombi kama hayo ni usumbufu na dhihakaya kupindukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa mkuu MatumbwelaDuh kama kuna maombi kama hayo ni usumbufu na dhihakaya kupindukia.
ndio tabia zao. wanadhani kila mtu ni mtoto humu. au wanadhani ni kule "Badooo"Hkuna dharau nisizopenda km hizo
Hlf ukimkatalia anakutusi
Sjui wakoje mm wananikera
Mimi aliniambia mtu unachaji sh ngapi usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilifunga ya kwangu kulingana na usumbufu wa (vivulana), yaani mtu anaingia halafu anaongea ujinga. Imagine mtu anakwambia naomba picha yako ukiwa mtupu!!!🙁🙁🙁
Wanaume wanatongoza tena kwa kero.Aisee kumbe kuna wanaume wambea?
Hahahahahaaa.. nimepoteza kufuliMimi namsubiri huyu afungue[emoji12] [emoji12]
Mamaa badoo ndio usiseme watu wakaka wakule sjui ni mizimu na shetanindio tabia zao. wanadhani kila mtu ni mtoto humu. au wanadhani ni kule "Badooo"
Jamaniiii!!! hebu ona sasa. wawe wapole tu wakikutana na makufuli mazito, maana wao ndio wanayataka. Pole sanaMimi aliniambia mtu unachaji sh ngapi usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kule si kitovu cha biashara mama.Mamaa badoo ndio usiseme watu wakaka wakule sjui ni mizimu na shetani
Anakutext jion ucku anataka pic ya utupu
Nilitoka bila ruhusa niliona nitapsuka kwa hasira
Badoo komesha
hhahaahahaahah, Pole naomi1 hahahahahahaha ulitoka nduki, hahahahahMamaa badoo ndio usiseme watu wakaka wakule sjui ni mizimu na shetani
Anakutext jion ucku anataka pic ya utupu
Nilitoka bila ruhusa niliona nitapsuka kwa hasira
Badoo komesha
Kwamba hawataki usumbufu?Wanasema wanasumbuliwa sana [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana kiongozi.
Ngoja tusubirie majibu yao.
Kuna siku nilitaka kuingia PM ya mmoja nilikuta geti la chuma ikabidi nirudi kimya kimya.
Nini?[emoji473][emoji473]
Najirusha tuu mm...Nini?
Duh ile bihashara ni ngumu kwanguSasa kule si kitovu cha biashara mama.
Hahah!! Shem ulijiepusha na shariMi sikutaka tu mazoea maana napenda kuchat sasa mtu akija ntamjibu halafu akaleta umbea mwishoni nisutwr bure
Ile biashara kama huna kinyaa unafanyaDuh ile bihashara ni ngumu kwangu
Aaaah shem sikutaka umbea. Maana mnasema akitoka hapo mtu anaenda kusema. Ndugu yangu akaniambia kuwa makini.Hahah!! Shem ulijiepusha na shari
Aliambiwa una uzaMimi aliniambia mtu unachaji sh ngapi usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]