Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mamaa badoo ndio usiseme watu wakaka wakule sjui ni mizimu na shetani
Anakutext jion ucku anataka pic ya utupu
Nilitoka bila ruhusa niliona nitapsuka kwa hasira
Badoo komesha
Sasa kule si kitovu cha biashara mama.
 
Mamaa badoo ndio usiseme watu wakaka wakule sjui ni mizimu na shetani
Anakutext jion ucku anataka pic ya utupu
Nilitoka bila ruhusa niliona nitapsuka kwa hasira
Badoo komesha
hhahaahahaahah, Pole naomi1 hahahahahahaha ulitoka nduki, hahahahah
 
Back
Top Bottom