Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Mi sikutaka tu mazoea maana napenda kuchat sasa mtu akija ntamjibu halafu akaleta umbea mwishoni nisutwr bure
Tena ww Mzigua90 nimekuja sana pm yako lkn umeitia makuta marefu mapana na mazito + magril utafikiri umehifadhi mkataba wa muungano wa jamhuri ya tanganyika na zanzibar bhana...... [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…