Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mimi pia sijakuona jukwaani siku nyingi sana brother,ulijificha wapi aisee.Za siku ni nzuri, nimekukumbuka sana kaka.
Angalia sana braza, hao watu hawaelewekagi.Nampatia msaada kidogo tu
[emoji120] Asante kaka, tuko pamoja.Ah pole brother,tuko pamoja
Jambilo kabadilisha jina bhana.Ah pole brother,tuko pamoja
Jambilo kabadilisha jina bhana.
Ngoja nilianagalie then nikwambie.Anajiita nani tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Naiacha wazi leo basiTena ww Mzigua90 nimekuja sana pm yako lkn umeitia makuta marefu mapana na mazito + magril utafikiri umehifadhi mkataba wa muungano wa jamhuri ya tanganyika na zanzibar bhana...... [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Njoo nyumban bebeNitajie hao wadada
Kwakweli Mungu anasaidia mambo yanaenda poa kabisa shem....Uhali gani weye?
Hahah! Itabidi niwe makini kweli mana mali inaweza kupotea hii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Oooh kuwa makini shemela
Duh,nilikuwa sijuiAnajiita SHAMMA
NajaNjoo nyumban bebe
Siku hizi we ni kakake shunie?Kwakweli Mungu anasaidia mambo yanaenda poa kabisa shem....
Huo ukaka nimeuona leo shem acha na mimi niuendeleze tu [emoji23]Siku hizi we ni kakake shunie?