Kweli kaka akee usiku sikuli ugali jamaniHahahahaaaaaa.....
Hahhahah sikukimbii kaka angu jamaniUsikimbie dadae.
Sio siri tulichizika bossNakumbuka nilikuwa nafanya kazi mda mwingi akili inawaza jf. Hahahaaaa
Sikatai kabisa.Makapuku ni zaidi ya familia jamani
Ukija nitafute kaka, bado namba yako ninayo. Labda kama uwe umeshabadilisha.Ntakuja mnz aisee
Ninayo piaUkija nitafute kaka, bado namba yako ninayo. Labda kama uwe umeshabadilisha.
Hivi, inaweza kutokea siku moja tukawa pamoja tena!!??Daah nawamiss sana wadau
Yote yawezekana mkuuHivi, inaweza kutokea siku moja tukawa pamoja tena!!??
Natamani nirudi, dada naona kama unanivuta taratibu.Ndio siku moja moja mkuje
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mbarikiwe sana, sema mkuu wetu kidogo nilikuwa namuona alikuwa na ka unafiki flani hivi. Mapema sana nilitaka kujitoa ila kaka SHAMMA akanikatalia kuondoka.Hahhahah halafu alinileta kiutani tu tulikuwa mmu ananiambia shunie umeshawahi ingia makapuku nikamwambia wala nauonaga tu huo uzi akaniambia kaingie kuna baadhi ya wanaume wanaongea huko uwe makini kweli nikaingia mapokezi niliyoyakuta jamani ndio nikawa naingia kila siku
Unaotaga unafukuzwa na majini niniiiii!???Kweli kaka akee usiku sikuli ugali jamani
Rudini jamaniNatamani nirudi, dada naona kama unanivuta taratibu.
Aseee... Leo mmenikumbusha vile nilivyoanza kuipenda jf.Sio siri tulichizika boss
Mm nilikuwa namwambia ukweli unavyofanya sio watu wakienda majukwaa mengine analalamika nilikuwa namwambia sio vizuri kingine kutupia wengine madongo namwambia unaharibu jukwaa hizo mambo tuachie sisi watoto wa wa kike kidogo kidogo alikuwa anabadilika[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mbarikiwe sana, sema mkuu wetu kidogo nilikuwa namuona alikuwa na ka unafiki flani hivi. Mapema sana nilitaka kujitoa ila kaka SHAMMA akanikatalia kuondoka.
Hahhahha yaan nafukuzwa sanaUnaotaga unafukuzwa na majini niniiiii!???
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ya kwangu iko hewani mda wote.Ninayo pia
Mmmh! Mwaka 2016 ilikuwa ni balaa.Yote yawezekana mkuu
Lile sakata langu na yeye lilimtia adabu, aliniudhi sana, baadae tulielewana[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mbarikiwe sana, sema mkuu wetu kidogo nilikuwa namuona alikuwa na ka unafiki flani hivi. Mapema sana nilitaka kujitoa ila kaka SHAMMA akanikatalia kuondoka.