Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mbarikiwe sana, sema mkuu wetu kidogo nilikuwa namuona alikuwa na ka unafiki flani hivi. Mapema sana nilitaka kujitoa ila kaka SHAMMA akanikatalia kuondoka.
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] Mbarikiwe sana, sema mkuu wetu kidogo nilikuwa namuona alikuwa na ka unafiki flani hivi. Mapema sana nilitaka kujitoa ila kaka SHAMMA akanikatalia kuondoka.
Mm nilikuwa namwambia ukweli unavyofanya sio watu wakienda majukwaa mengine analalamika nilikuwa namwambia sio vizuri kingine kutupia wengine madongo namwambia unaharibu jukwaa hizo mambo tuachie sisi watoto wa wa kike kidogo kidogo alikuwa anabadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…