Uko poa lkn?Kwanini mkuu?
Tukumbushe Sasa ID ya zamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleni wanaume
Nipo poa Glenn. Hofu kwako.Uko poa lkn?
Najua uamifu wako tulia wala usihofu
Kitambaa cheupe?Duh umesahau ile siku tumeenda wote kiwanja fulani maeneo ya Sinza
Asee mie mvivu kujibu hizo PMWewe usiwaze kama hujawahi tongozwa maana yake una CV nzuri ngoja tuje kukutongoza
Nimekubamba Sasa [emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyewe nna mpango wa kubadili soon, nahitaji boifrendi mpya kijana namba DZ
πππNijibu ile yangu hao wengine wahuni tu
Acha uchoyo jibu PM[emoji12]Asee mie mvivu kujibu hizo PM
Tangu ueke hii thread nmereceive PM 5 na wala sihitaj any imebidi nifunge
Hapo its like unanipa promo mie sitaki eti[emoji2][emoji2][emoji2]
Amebadili tena au amefungua mpyaUyo Bantu Lady I'd yake mpya naijua[emoji12]
π π πTukumbushe Sasa ID ya zamani.
Dear crush [emoji23]