Wanawake wa JF nisaidieni Kuwaelewa hawa wadada

Wanawake wa JF nisaidieni Kuwaelewa hawa wadada

Pearce

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
667
Reaction score
1,582
Kuna wanawake wawili niliwahi kuwatokea wakati huo kwa kipindi tofautitofauti wakati nikiwa single sababu niliona ni watu sahihi

1.Nilimwambia dhamira yangu kweli aliniambia kwamba ana mtu wake, na alibaki na msimamo huo basi nikapunguza mawasiliano lakini tangu wakati huo lazima atanitafuta kuanzisha chatting na mara nyingi ananiambia au ataonesha kuna mambo tumefanana au kufanya comparison jana alianzisha chat whatsapp anataka fahamu hadi umri wangu.

Kuna siku za nyuma niliwahi kukutana nae nikajaribu mkiss mkono na hakuonesha resistance yoyote. Hivi hii ndo Friend zone au nimeekwa for incase


2. Huyu hakuniambia hana boyfriend na nilipomwambia dhamira yangu hajawahi kunionesha au kuniambia hapana au ndio.

Nilipokuja gundua ana mtu wake nikaanza punguza mawasiliano lakini haiishi wiki hajanipigia simu kunijulia hali au kuniambia nipite ofisini kwake nikamtembelee au kumuona na anaficha kama ana mtu na nishawahi kumuuliza akaniambia hana mtu serious

kWeli nimeshindwa waelewa kabisa
 
Kuna wanawake wawili niliwahi kuwatokea wakati huo kwa kipindi tofautitofauti wakati nikiwa single sababu niliona ni watu sahihi

1.Nilimwambia dhamira yangu kweli aliniambia kwamba ana mtu wake, na alibaki na msimamo huo basi nikapunguza mawasiliano lakini tangu wakati huo lazima atanitafuta kuanzisha chatting na mara nyingi ananiambia au ataonesha kuna mambo tumefanana au kufanya comparison jana alianzisha chat whatsapp anataka fahamu hadi umri wangu.

Kuna siku za nyuma niliwahi kukutana nae nikajaribu mkiss mkono na hakuonesha resistance yoyote. Hivi hii ndo Friend zone au nimeekwa for incase


2. Huyu hakuniambia hana boyfriend na nilipomwambia dhamira yangu hajawahi kunionesha au kuniambia hapana au ndio.

Nilipokuja gundua ana mtu wake nikaanza punguza mawasiliano lakini haiishi wiki hajanipigia simu kunijulia hali au kuniambia nipite ofisini kwake nikamtembelee au kumuona na anaficha kama ana mtu na nishawahi kumuuliza akaniambia hana mtu serious

kWeli nimeshindwa waelewa kabisa
Ok
 
@Mods nisaidie badili title ianze Wanawake/Wanaume


Hata Moderator asipobadili title waungwana tumekuelewa kuwa unatuomba radhi kwa kutusahau😃😃

USHAURI:Epuka sana mwanamke ambaye hataki kukupenda lakini pia hataki kukupoteza,ukimkumbatia huyo utajuta!wanawake wote tajwa hapo juu HAWATAKI KUKUPENDA PIA HAWATAKI KUKUPOTEZA.
 
Hata Moderator asipobadili title waungwana tumekuelewa kuwa unatuomba radhi kwa kutusahau😃😃

USHAURI:Epuka sana mwanamke ambaye hataki kukupenda lakini pia hataki kukupoteza,ukimkumbatia huyo utajuta!wanawake wote tajwa hapo juu HAWATAKI KUKUPENDA PIA HAWATAKI KUKUPOTEZA.
Asante mkuu kwa maoni
 
Na wenye jinsia zote wanaruhusiwa kutoa ushauri? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake ni wa binafsi wao wanataka uwe spare tire wake lakini yeye kumfanya spare tire wako hawataki.
 
Back
Top Bottom