Wanawake wa JF tukutane hapa

Nimeshamjua sasa nae alihangaika kamuacha ney wee mwisho wa siku karudi na magoti
Akifuliaga anamrudia Ney.. kipindi alivyoachana na HN alirudi kwa Ney akampata yule mtoto wa UD akamuacha tena Ney, walivyoachana na yule mtoto wa UD akajirudisha tena kwa Ney. Ney nae ana mapenz sana
 
Akifuliaga anamrudia Ney.. kipindi alivyoachana na HN alirudi kwa Ney akampata yule mtoto wa UD akamuacha tena Ney, walivyoachana na yule mtoto wa UD akajirudisha tena kwa Ney. Ney nae ana mapenz sana
Huyo mtoto wa UD alikuwa na mashauzi jamani alivyoachwa acha atukanwe sana halaf nilijua HN angeolewa si kwa mashauzi yale
 
R yule kaka mweupe mfupi amezaa na Ney.....
Nqkumbukaa huyu kaka enzi zake kwa sinta kila mtu anamtaka,,,hivi bado ana pesa kama zamani naona kamrudia Ney na mahaba moto motoo,,yale magari bado yapo?naona anaimba bongofleva siku hizi pesa hizi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipe ubuyu hebu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…