Bora ka- move on kwa mambo anayoyafanya Naima angejichokea tuAlikua mume wake wa ndoa, hiyo kabla hajakutana na CK.. yule kaka alishawahi kwenda kumuomba CK amuachie mke wake. Manyika itakua mbwembwe tu
Ni bingwa wa kuigiza.. kuna siku niliwaona na CK jamani kajitanda ushungi utasema mwislam swafi. Nikamuuliza CK kwahiyo ndo unaoa hapa akasema huyu mwanamke katulia tofauti na wengine blah blah.. sijui walitibuana niniYule mwanamke hapana jaman na anaweza kupretend unaona mke huyu hapa
Shangaa na wewe ..wangejua sakayo apenda sura ngumuuu!!Ahahahhahha hivi wanajisaidiaga cake eenh
AhahahhhhUmetisha itabidi uliunge na shilawadu sio kwa uactive huo shostito
Unampanikisha Mama Sabrina ujueYule alikua HB afu ana rangi flani amazing sana...I thought angekua na udhaifu kw bed ila alikua anapiga show za maana hadi najikuta sayari yà Jupiter lol
Siwez kukusahau mpenzUkimjua usinisahau... Mie simpeleki mahali nitakuwa nampa heshima
Huwa nakupendaga hapo tuuSiwez kukusahau mpenz
Huyo huyo alimuoa kabisa alimchukua mtoto kumlea toka yupo mdogo sana jaman vituko tulikua tunaona sisi wafanyakazi tukiingia usiku naima anakuja kuchukua hela usiku yupo na wanaume kipindi hiko mwanaume yupo dubai naima kashindikanaNamjua si yule alozaa nae?? yule kaka kateswa sana na Naima. Naona keshamsahau sasa hivi maana Naima alikua anaenda kulala na wanaume yule kaka anaambiwa anaenda kumchukua Naima anamgomea kabisa
Tatzo nnHana kibamia kabisa
Ha ha ha haukucheka kweli? Watoto wa mjini huwa wananifurahisha sana! wanajua kupretend balaaNi bingwa wa kuigiza.. kuna siku niliwaona na CK jamani kajitanda ushungi utasema mwislam swafi. Nikamuuliza CK kwahiyo ndo unaoa hapa akasema huyu mwanamke katulia tofauti na wengine blah blah.. sijui walitibuana nini
Masikini usikute anaweza kumtuliza ila shoga akipenda huwa anabadili ubini nashangaa sasa hivi jina alijabadilishwaMkaka tu naona sio wa mjini nimeona picha anaonekana hajui habari yoyote ya S
kashindikana sio kidogo eti..Huyo huyo alimuoa kabisa alimchukua mtoto kumlea toka yupo mdogo sana jaman vituko tulikua tunaona sisi wafanyakazi tukiingia usiku naima anakuja kuchukua hela usiku yupo na wanaume kipindi hiko mwanaume yupo dubai naima kashindikana
Wacha weeee!!!Yule alikua HB afu ana rangi flani amazing sana...I thought angekua na udhaifu kw bed ila alikua anapiga show za maana hadi najikuta sayari yà Jupiter lol
Wewe ndio umenivuruga kabisaaaEti ata mimi sielewi..! Hawajui kwa tajiri cha nini maskini nitakipata lini...
Hapana boss wetu sisi ndio mtoto wake aliyemuoa naima kipindi hiko naima anatokea kwenye video ya mbagala kadogo hiviiiBoss yupi huyo? Kabla hajakutana na CK? Hivi na manyika alifunga nae ndoa kweli au mbwembwe tu?
Kwanini??Wewe ndio umenivuruga kabisaaa
Ahahhahah kama nakuonaUkimjua usinisahau... Mie simpeleki mahali nitakuwa nampa heshima
Nilicheka tu nikamwambia hongera kaka maana hilo ni bomu umejivika jiandae litakulipukia dakika yoyote akasema eti we hujui tu katulia sana Naima.. sema hata Naima alimpendaga CK.Ha ha ha haukucheka kweli? Watoto wa mjini huwa wananifurahisha sana! wanajua kupretend balaa
Ila alikuwa anampenda jaman alikuwa anavumilia mauchafu yote ya naima yaan naima alikuwa hampendi kabisa saadBora ka- move on kwa mambo anayoyafanya Naima angejichokea tu