Anakaa magomeni kile kipindi kabula zimeanza kuruka alikua anaishi nae hapo magomeni alipopangaMmh mbona alihojiwa na shilawadu anakaa kwenye nyumba yake wakamuuliza ndio alikununulia ck enzi zake ipo kigamboni akasema hata manyika alikuwa anaishi nae hapo
Hahahaaaa!Tenaa???
Wema hajijui waliomzunguka wote wanaojifanya dada zake mjini wote wanafkiCK maskin alijua kumpa maisha sana Wema basi tu.
weekend iliyopita nilikua kwa Junaithar pale dukani kwake kinondoni alikua yupo na Lamar basi akaja Wema sijui ilikua Uber ile maana dereva alikua mwanaume then plate no nyeupe.
alivyingia na mbwembwe mle ndani nikawa nawaona lamar na junaithar wanakonyezana tu wakonyezane
Nikasikitika moyoni nikajisemea alivyochezea hela wakati wa CK wema sio wa kutembelea Uber.
Wakunyumba unakua kama hujui watoto wa mjini kwa uongo...anakaa hapo magomeni. Si unakumbuka hata wema alisemaga ile nyumba ya akachube ni yake kanunuliwa na CkMmh mbona alihojiwa na shilawadu anakaa kwenye nyumba yake wakamuuliza ndio alikununulia ck enzi zake ipo kigamboni akasema hata manyika alikuwa anaishi nae hapo
Basi sawa.Mh auntieeeeee kwa story zilivokuwa sidhani km si yeye
Na alivyo na akili fupi alishindwa hata kujenga huwa namsikitikia sana WemaAlichezea hela na mapenz.. Ck alimpenda yule mwanamke na ndo chanzo cha matatizo ya Ck
Jina lake jamaniha ha ha utakua unamjua, mashauzi utadhani ana la maana mfyuuu zake
Nitakupa ebu nitajie kwanza auntie nicheke weeeeh mana bora awe na bichwa kama embe awe na mahela kuliko awe na huo mbichwa halaf awe furushiLete hela[emoji85]
Yaani nilishangaa walivyokua wanakonyezana na kenyewe ndiyo kanajishaua hapo na kasauti kake ka kudekaWema hajijui waliomzunguka wote wanaojifanya dada zake mjini wote wanafki
[emoji124]♂️[emoji124]♂️[emoji124]♂️[emoji124]♂️[emoji124]♂️[emoji124]♂️[emoji124]♂️Kapost September 1
Bado sijamjua ujueSijamjua... Niambie basi
Ndo wanapofeli hapo wadada wa mjiniNa alivyo na akili fupi alishindwa hata kujenga huwa namsikitikia sana Wema
Kama nakuona unavyotaka kupasuka, ni uncle wako auntie.Jamaaaaniiii
We unamjua bhanaBasi hata mimi nimetenda dhambi.
Eve ebu tutajie jamani tumjueha ha ha utakua unamjua, mashauzi utadhani ana la maana mfyuuu zake
Yule Jenifa nae mnafki sema anajitiaga dada mwemaYaani nilishangaa walivyokua wanakonyezana na kenyewe ndiyo kanajishaua hapo na kasauti kake ka kudeka
Bora Aunty mwenzao anajenga Kigamboni ingawa anajengewa kwa mkopoNdo wanapofeli hapo wadada wa mjini
HahahaShombe tena dada kwa ninavyokujua usije ukawa umetumiwa pic za kudownload ogoha wanadamu