Wanawake wa JF tukutane hapa

Mmh mbona alihojiwa na shilawadu anakaa kwenye nyumba yake wakamuuliza ndio alikununulia ck enzi zake ipo kigamboni akasema hata manyika alikuwa anaishi nae hapo
Anakaa magomeni kile kipindi kabula zimeanza kuruka alikua anaishi nae hapo magomeni alipopanga
 
Wema hajijui waliomzunguka wote wanaojifanya dada zake mjini wote wanafki
 
Mmh mbona alihojiwa na shilawadu anakaa kwenye nyumba yake wakamuuliza ndio alikununulia ck enzi zake ipo kigamboni akasema hata manyika alikuwa anaishi nae hapo
Wakunyumba unakua kama hujui watoto wa mjini kwa uongo...anakaa hapo magomeni. Si unakumbuka hata wema alisemaga ile nyumba ya akachube ni yake kanunuliwa na Ck
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…