Wanawake wa JF tukutane hapa

Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali
Asikwambie mtu silaha yao kubwa u handsome bila hivyo wasingekuwa Na warembo mm nimeshawazoea huwa nawapita tu kama siwajui
 
Asikwambie mtu silaha yao kubwa u handsome bila hivyo wasingekuwa Na warembo mm nimeshawazoea huwa nawapita tu kama siwajui
Mtu anaringia alichonacho, huwataki kabisa ila wanapendwa hao
 
Mmh sijui niseme nn, nakwambia jf kuna kila sample, yaan nilikutana na mkaka kwanza sijui nielezee vipi, upstairs yuko vizuri kinoma mcheshi, mrefu, mweusi zile rangi tunazozipenda, macare flani hivi ahaaa msomi kasoma mpaka mwisho wa reli, mm na kidegree changu cha kolomije najiona nyooo!
My dia wakaka unaowawaza kichwani wapo jf ila jinsi ya kukutana nao ni ngumu sana. Alinitafutaga nimfanyie kitu kutokana na sehemu nilivyo comment, kumjua sasa ilikuwa ni mbinde sana tena sana. Nilivyomjua nikaishia kutoa udenda.

Muda ukifikaga nitakuja kuleta hapa Uzi

Teh teh teh L.......ce baby.
 
Ehee sasa malizia alikula vitu
 
Mzimikie tu maana hamna namna.
Na kadi usitusahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…