Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Subiria mzungu wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Subiria mzungu wewe
Uzi unasemaje kwani?Mi sijawahi kuonana na mwanaume wala mwanamke wa humu,nahisi huu uzi haunihusu
Mmmh naja pmNawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Sasa mbona umetugeuzi tako, hebu keuga tukuone vizuri handsome wetu wa ukoo.![]()
Mimi wananiita moran
Anhaaaa....Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
HahahahahahSasa mbona umetugeuzi tako, hebu keuga tukuone vizuri handsome wetu wa ukoo.
Ngoja nikae chonjo, naona nimekaribia kutajwa[emoji144] [emoji144]Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja nikae chonjo, naona nimekaribia kutajwa[emoji144] [emoji144]
Hahahaaaaa!! Umenifanya nicheke kwa nguvu!!Mmmh naja pm
mmmm alkuwa anakuzungusha kuonana nayeMmh sijui niseme nn, nakwambia jf kuna kila sample, yaan nilikutana na mkaka kwanza sijui nielezee vipi, upstairs yuko vizuri kinoma mcheshi, mrefu, mweusi zile rangi tunazozipenda, macare flani hivi ahaaa msomi kasoma mpaka mwisho wa reli, mm na kidegree changu cha kolomije najiona nyooo!
My dia wakaka unaowawaza kichwani wapo jf ila jinsi ya kukutana nao ni ngumu sana. Alinitafutaga nimfanyie kitu kutokana na sehemu nilivyo comment, kumjua sasa ilikuwa ni mbinde sana tena sana. Nilivyomjua nikaishia kutoa udenda.
Muda ukifikaga nitakuja kuleta hapa Uzi
Teh teh teh L.......ce baby.
Tupe ubuyu basiDokta ulimwengu,kamaliza udsm hapo[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sasa mbona umetugeuzi tako, hebu keuga tukuone vizuri handsome wetu wa ukoo.
Na nyie mwaweza kuwa wazuri kwa wengineKwa hiyo sisi mapoligoni ndio basi tena? haya bwana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Simjui kiundani. Najua hayo tuTupe ubuyu basi
Shemeji jamani mbona hivyo!! Anhaaa nini sasa?Anhaaaa....
Soma pm basi,,asije kua mmoja wapo ni wangu[emoji23][emoji23]Hahahaaaaa!! Umenifanya nicheke kwa nguvu!!