Wanawake wa JF tukutane hapa

Wanawake wa JF tukutane hapa

Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mmmh naja pm
 
af3f15ba85d797db8d565db3fa339f73.jpg



Mimi wananiita moran
Sasa mbona umetugeuzi tako, hebu keuga tukuone vizuri handsome wetu wa ukoo.
 
Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Anhaaaa....
 
Mmh sijui niseme nn, nakwambia jf kuna kila sample, yaan nilikutana na mkaka kwanza sijui nielezee vipi, upstairs yuko vizuri kinoma mcheshi, mrefu, mweusi zile rangi tunazozipenda, macare flani hivi ahaaa msomi kasoma mpaka mwisho wa reli, mm na kidegree changu cha kolomije najiona nyooo!
My dia wakaka unaowawaza kichwani wapo jf ila jinsi ya kukutana nao ni ngumu sana. Alinitafutaga nimfanyie kitu kutokana na sehemu nilivyo comment, kumjua sasa ilikuwa ni mbinde sana tena sana. Nilivyomjua nikaishia kutoa udenda.

Muda ukifikaga nitakuja kuleta hapa Uzi

Teh teh teh L.......ce baby.
mmmm alkuwa anakuzungusha kuonana naye
 
Nawafahamu kama watatu hivi, ni member humu na ni mahb hatari na wanajielewa sana. Huyo mmoja yuko kama mwarabu hivi, jamani kaka ni handsome huyo!! [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom